Prince Masaai...!!
Wednesday, August 26, 2009
Je hii ni mikogo au taabu ya usafiri...?
Watoto wakiendesha baiskeli katika Bara bara ya Bahi mjini Dodoma jana wakiwa wamepakizana katika hali ambayo inahatarisha usalama wao barabarani.
‹
›
Home
View web version