Tuesday, November 15, 2011

MVUA YALETA DHAHAMA UWANJA WA NDEGE MWANZA

Ndege ya Shirika la PrecisionAir ikiwa katika maji katika uwanja wa Ndege wa Mwanza ambao ulijaa maji baada ya mvua kubwa kunyesha jana (Jumatatu).
Hivi ndivyo hali ilivyokuwa katika uwanja wa Ndege wa Mwanza hiyo jana (Jumatatu) baada ya mvua kuleta dhahama. 
Uwanja wa Ndege wa Mwanza ukiwa umejaa maji baada ya mvua kubwa kunyesha. Uwanja huo ulifungwa kwa takriban saa sita. Kiasi cha Abiria wapatao 200 waliathirika na hali hiyo. Picha/ RAY NALUYAGA

LEMA APATA DHAMANA

Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema akitoka mahakamani baada ya kupata dhamana jana (Jumatatu). Mbunge huyo alikaa rumande kwa takriban siku 14 baada ya kukataa dhamana ikiwa ni njia ya kuonyesha kutoridhishwa kwake na vitendo vya vyombo vya dola kumuandama. PICHA/  FILBERT RWEYEMAMU

ZOEZI LA KUONDOA KWA NGUVU WAKAZI ENEO LA MAKAO, WILAYANI MEATU, SHINYANGA


Moja kati ya familia zilizoondolewa kwa nguvu katika eneo la hifadhi (Wildlife Management Area) lililopo eneo la Makao Wilayani Meatu Mkoani Shinyanga. Eneo hilo hutumika kwa shughuli za kitalii na uwindaji. 
Moja ya nyumba zinazodaiwa kuchomwa moto katika zoezi la kuondoa kwa nguvu wakazi katika eneo hilo. Takriban kaya 625 zinadaiwa kuishi katika eneo hilo. Picha / Zulfa Mfinanga

Sunday, November 6, 2011

Prince of Wales and the Dutches of Cornwell in Tanzania for a four-day official visit

 Askari akiwa katika doria JNIA 
 Mapaparazi wakisubiria ujio wa Prince Charles na Mkewe Camilla
 Ngoma ziliendelea kutumbuiza
 Ndege iliyombeba Prince Charles and Mkewe Camilla akigusa ardhi ya Tanzania tabrikan saa 12:15 jioni (6:15PM)/ 16:15HRS) Jumapili. Hii ni safari ya pili kwa Prince Charles kutembelea Tanzania tangu alipozulu nchini Machi 1984  

 Mmoja wa Marubani akihakikisha kama ngazi imeshawekwa vyema kabla ya kufngua mlango wa ndege
 Prince Charles na Mkewe Camilla wakiteremka toka kwenye ndege
 Hapa wakiwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda wakiangalia tumbuizo toka kwa vikundi vya ngoma za asili
Ziara hii ya siku nne inafuatia mwaliko wa Rais Jakaya Kikwete aliotutoa kwa Prince Charles. Picha kwa hisani ya Fidelis Felix

Mahafali ya Nne ya Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu (DUCE)




Baadhi ya wahitimu wa Shahada ya Kwanza katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu cha Dar es Salaam cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wakifuatilia hotuba mbalimbali wakati wa mahafali ya Nne ya chuo hicho yaliyofanyika Jumamosi (Novemba 5) jijini Dar es Salaam ambapo wahitimu 786 walitunukiwa Shahada zao. Tangu mwaka 2005 chuo hicho kimeshatoa walimu 3,884 wenye Shahada ya Kwanza.

Sunday, October 30, 2011

JINSI YANGA ILIVYOUA MNYAMA UWANJA WA TAIFA

 Wachezaji wa Simba wakiomba dua.....
Shabiki la Yanga likionyesha ishara ya kumchinja mnyama na goli tatu... 
 Kikosi cha Yanga......
 Kikosi cha Simba kilichokuwa na matumaini....

 Kipa wa Yanga Yaw Berko akiwapanga mabeki...
 Mshambuliaji wa Simba Ulimboka Mwakingwe akimtoka beki wa Yanga Oscar Joshua
 Mashabiki wa Simba wakiwa wametundika bango..... Utani wa jadi tena ndo huu...
 Mshambuliaji wa Yanga Davis Mwape akiwania mpira na beki wa Simba Juma Nyosso

 Muuaji wa Mnyama, Davis Mwape wa Yanga na Juma Nyosso wa Simba katika moja ya hekaheka...
 Jinsi Davis Mwape alivyowatoka mabeki wa Simba na Kumchambua kipa Juma Kaseja...
 Kitu kimyani.....
 Shamra shamra.....
 Kocha wa Yanga Kostadin Papic akiwapongeza wachezaji
 Kipa wa Simba Juma Kaseja akiwa ameshika kiuno....huku score board ikionesha I-0...
 Mashabiki wa Yanga wakifurahia goli.....hilo bango chini yao ni utani wa jadi huo...
 Mshambuliaji wa Yanga Jerry Tegete akihuzunika baada ya kukosa goli ndani ya sita...
 Beki wa Yanga, Nadir Haroub akiwapa pole bench la Simba baada ya mchezo...
 Wachezaji wakiwa wamembeba juu kocha Kostadin Papic baada ya kipyenga cha mwisho...
 Ndo furaha ya ushindi kwa mashabiki wa Yanga...
 Hasira na huzini kwa mashabiki wa Simba...
 Papic akiwasalimu mashabiki wa Yanga baada ya mchezo....
 Polisi wakiwaadabisha mashabiki wa Simba baada ya kuanza kurusha makopo matupu ya vinywaji baridi...
 "Toa bango lako uende...kufungwa mshafungwa...sasa vurugu za nini,"alisikika askari akimwambia shabiki wa Simba...
Kocha wa Simba akitafakari baada ya mechi....(labda kuhusu hatima ya kibarua chake mshimbazi) huku akiangalia Score board asiamini kilichotokea....

Wednesday, October 19, 2011

Polisi mkoani Dodoma yakamata noti bandia

Kamanda wa Polisi Mkoani Dodoma Zelothe Stephen akionyesha moja ya noti bandia za Sh10,000 zilizokamatwa Jumatatu mkoani humo. Picha/Habel Chidawali

Jeshi la Polisi Mkoani hapa linawashikilia watu wawili kwa kosa la kukamatwa na noti  bandia ambazo thamani yake ni Sh 250,000.

Kamanda wa Polisi Mkoani Dodoma Zelothe Stephen aliwaambia waandishi wa habari Jumatatu wiki hii kuwa nyingi kati ya fedha hizo zilikuwa ni noti za Sh 5,000 na Sh10,000. 

Baadhi ya noti zilizoonyeshwa kwa waandishi wa habari zilikuwa na namba zinazofanana ikiwemo noti za Sh10,000 ambazo zaidi ya noti 5 zilikuwa na namba moja iliyosomeka AC 0011680 huku noti 8 za Sh5,000 zikisomeka kwa namba moja ya BH 0012036.

Zelothe aisema upelelezi kamili wa kesi hiyo unaendelea ili kubaini watengenezaji pamoja na mashine zinazotumika kwa ajili ya kutengeneza noti hizo.

Dodoma yazindua wiki ya nenda kwa usalama

Mkufunzi wa Shule ya Udereva ya Dodoma Ondi Nyarari (wa pili kushoto) akimpa maelezo Mkuu wa Wilaya ya Bahi Betty Mkwasa (kulia) juu ya kitabu maalum chenye maelezo juu ya alama za barabarani kwa waendesha pikipiki wakati wa uzinduzi wa wiki ya nenda kwa usalama mkoani Dodoma Jumatatu wiki hii. 

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dk Rehema Nchimbi (kulia) akipokea maelekezo kutoka kwa Mkufunzi wa Shule ya Udereva ya Dodoma Ondi Nyarari kuhusu kozi fupi za madereva wa pikipiki (boda boda) katika wiki ya nenda kwa usalama. Mkuu huyo wa Mkoa alizindua wiki hiyo Jumatatu wiki hii mkoani Dodoma. Picha/ Habel Chidawali

Zambia's Envoy to Tanzania recalled


Zambia’s High Commissioner to Tanzania, Ms Marvis Muyunda, presents her credentials to President Jakaya Kikwete at the State House in March, this year. PHOTO/FILE

Zambia’s High Commissioner to Tanzania, Ms Marvis Muyunda, has lost her job following a recall by the new administration under President Michael Sata. 

Ms Mayunda, reportedly an aunt to the late President Levy Mwanawasa, was among 12 ambassadors axed in an announcement made by Foreign Affairs Minister Chishimba Kambwili. 

The country’s High Commissioner to Kenya, Ms Christine Lambart, also suffered a similar fate. Ms Mayunda presented her credentials to President Jakaya Kikwete in March.

Mr Kambwili told Zambia’s The Post newspaper on Monday that the termination of contracts for the envoys was “with immediate effect” but they would be accorded a three-month period to prepare their return home in line with their conditions of service.

Other reports suggested that those recalled may have paid the price for associating with the former ruling party – the Movement for Multiparty Democracy (MMD) whose candidate, and immediate former president, Mr Rupia Banda, lost to Mr Sata in last month’s General Election. 

Yesterday, activity at the High Commission’s offices in Dar es Salaam continued as usual even though efforts by The Citizen to see Ms Mayunda were unsuccessful. No one was ready to talk about the news of her recall.

Employees at the embassy told The Citizen she could not see anyone or grant telephone interviews as she was holed up in a scheduled daylong meeting with other officials.    

 In Lusaka, the list of the diplomatic ‘casualties’ also included former Republican Vice President Dr Nevers Mumba (Canada), former president Rupiah Banda’s cousin Agness Ngoma ( Mozambique), and Zambia Army ex-commander General Isaac Chisuzi ( Namibia).

According to Mr Kambwili, others who have been recalled are Professor Royson Mukwena (UK), ex-minister Marina Nsingo ( Botswana), Albert Muchanga (Ethiopia and AU), Reuben Musakabantu ( Malawi), Dr Sipula Kabanje (Zimbabwe), Anderson Chibwe ( Malaysia) and Alexis Luhila (Nigeria). 

The minister said former deputy chief executive of former ruling party – Jeff Kaande, who served as counsellor at Zambian Embassy in Japan and TV personality Doreen Mukanzo, who was first secretary for press at the mission in South Africa had also been recalled. 

Sacking of diplomats were expected after their April 2011 meeting where then president, Mr Banda, thanked them for financing the MMD and urged them to finance his re-election campaign.
Michael Sata, then main opposition leader, rebuked Mr Banda.

“That is the direct Presidential directive that those diplomats should divert money from their missions and send it to Lusaka for his campaign,” said Mr Sata

The 74-year-old Sata had promised to depoliticise the diplomatic service. Presidents usually appoint political loyalists, relatives and associates to diplomat posts. Source/The Citizen, October 19,2010; Reported by Elias Mbao in Lusaka and Bernard Lugongo in Dar es Salaam.

Thursday, September 29, 2011

Dr Bilal in Stockholm

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Mama Asha Bilal, Waziri wa Mazingira Huvisa, wakimsikiliza Mkurugenzi wa Taasisi ya Mazingira ya Stockholm, John Kuylenstierna, wakati wakiwa katika semina ya kubadilishana uzoefu kati ya taasisi hiyo na Wizara ya Mazingira iliyo chini ya Ofisi ya Makamu wa Rais. Semina hiyo ilifanyika jana septemba 27 katika ofisi za taasisi hizo zilizopo Stockholm nchini Sweden. Picha na Muhidin Sufiani-OMR

Tuesday, September 27, 2011

Panic as shilling hits lowest level

The shilling on Monday fell to the lowest level, exchanging at Sh102 to the dollar.
This plunged markets into uncertainty. As a result, it is now difficult for businesses to either predict or plan their activities.
“If you took your child for further education abroad, you don’t know how much you will pay in shillings. You cannot even plan how much you will save because you don’t know how much you will spend in a month because prices keep on changing,” said Ms Eunice Wamaitha, a commentator on monetary policy issues.


The situation shows that efforts by the Central Bank of Kenya (CBK) to stabilise the exchange rate are yet to yield results.
Market players said CBK came into the market selling an unspecified amount of dollars but this has not brought respite in the fall. CBK sold the dollars to individual banks on the basis of their demand.
Since January, the Monetary Policy Committee and the CBK have made several material changes to the monetary policy mainly by increasing interest rates.


They hoped that holders of foreign exchange would be attracted by the high rates to release the dollars in the market.


The shilling has fallen by about 24 per cent since the beginning of the year, from Sh80.8 to the dollar on January 3 to Sh102 to the dollar on Monday.
The currency has lost 43 per cent of its value since March 4, 2007, when the current CBK governor, Prof Njuguna Ndung’u, took over the reins of power.


With the government rolling out several infrastructure projects, including roads and expansion of the port and airports, there are fears that some of them may become more expensive to implement.


The free fall of the shilling is the latest sign of worsening macro-economic conditions. Inflation is currently at the rate of over 16 per cent.


In August, the poor in Nairobi were experiencing an inflation rate of 17.1 per cent, while the middle and upper classes were facing an inflation rate of 11.3 and 12.9 per cent respectively. Source: Daily Nation, Posted on September 26, 2011, Reported by Joseph Bonyo