Saturday, July 30, 2011

Mambo ya Nairobi...

Mdada shoe shiner akimhudumia mteja.....kwa bongo... hapo wavua viatu... wengine... hususan wakinababa... soksi huwa na hitilafu......

Wednesday, July 27, 2011

It is So Sad...!!!

Judge to child: Do you want to live with your mother?

Child: No

Judge: Why?

Child: She beats me.

Judge: Okay, so you want to live with dad?

Child: No

Judge: Why not?

Child: He beats me too.

Judge: So who do you want to live with?

Child: Taifa Stars.

Judge: WHY??

Child: They never beat anyone!

Lady on Bicycle Grabs Too Much Attention

I received this attachment kwa email... then found it worth to share na wadau..... just have a look... it is interesting....

Tuesday, July 26, 2011

South African 'corpse' wakes up

A 50-year-old South African man thought to be dead woke up in a chilly morgue on Sunday and shouted to be let out, scaring off two attendants who thought he was a ghost, local media reported.
"His family thought he had died," health spokesman Sizwe Kupelo told the Sapa news agency.
"The family called a private undertaker who took what they thought was a dead body to the morgue, but the man woke up inside the morgue on Sunday at 5:00 pm and screamed, demanding to be taken out of the cold place."
This caused two mortuary attendants on duty to flee the building in the small town of Libode in the rural Eastern Cape as they thought it was a ghost.
After calling for help and returning to find the man alive, an ambulance was sent to fetch the man who had "been exposed to extreme cold for nearly 24 hours" said Kupelo.
He said the public should not assume that a sick person had died and contact a mortuary, the report said.
"Doctors, emergency workers and the police are the only people who have a right to examine the patients and determine if they are dead or not."
Reported by Marco Longari | AFP – Sun, Jul 24, 2011

Monday, July 25, 2011

Kamanda Magufuli upo...? Wao waweze wana nini na sie tushindwe kwanini?

 Moja kati ya Fly-over nyingi zinazoendelea kujengwa jijini Nairobi... ikiwa ni jitihada za kupunguza msongamano barabarani..... Sasa sie wabongo sijue tume..gwa.... coz hadithi za fly over ni nyingi mno kuliko utekelezaji......Wao waweze wana nini na sie tushindwe kwanini?




Tempo....

 Nilivutiwa na hicho kifaa katika tempo moja jijini Nairobi... sijui tukiite gari... tolori ama nini??... kwa wale wanaojua tuelezeni kazi yake

Mambo ya Kispoti

 Jamaa akiranda mitaa ya jiji la Nairobi... na ka-sports......
Ila ukiwa bongo... na juu lilivyo kali na vyua sizizoeleweka soo kichizi...

Marikiti..Kisutu yao

 Soko la Ngara jijini Nairobi maarufu kwa matunda na mboga za majani.... kwa wakazi wa Saridalama.. ni kama vile la Kisutu... wadosi ndo kwao....



Sunday, July 24, 2011

RIP Bro Danny Mwakiteleko

Kwa kweli it is so sad.... sometimes unaweza sema God is not fair... but that is how it is...tulikaa nae tarehe July 3 usiku pamoja na Bukuku na jamaa wengine wawili... hii ndo ilikuwa last time nimeiona sura ya Danny......inasikitisha lakini hatuna jinsi.... nimejaribu kuangalia katika facebook... jinsi jamaa na marafiki walivyoguswa na msiba huu...rest in peace Bro...


Mpoki Bukuku: they say danny is no longer, sitaki kuamini! inauma sana!
Geoffrey Ng'humba: Saa ngapi sasa alipofariki? maana taarifa za magazeti ya asubuhi zimesema alitembelewa na rais na kwamba hali yake ilikuwa ikiendelea vizuri? Oooh God! R.I.P. Danny.
Tausi Mbowe: bukuku inauma ndugu yangu sitaki kuamini kama Chifu Danny niliyemfahamu since 2001 sasa hatunaye, ndio hivyo tumuombee tu Mungu amlaze pema peponi kwani mbele yake nyuma yetu
Reginald Miruko: Kwaheri Kamanda Danny Mwakiteleko. Umetangulia kutuandalia makazi. Tulikupenda sana, lakini Mungu amekupenda zaidi. Ulikuwa kioo kwenye taaluma ya habari, tumejifunza mengi kutokana na ujuzi wako. Kifo chako kiwe chachu ya kupambazo na ajali za barabarani zinazoongezeka kila kukicha. Poleni wanahabari, wahariri, familia ya Mwakiteleko, ndugu na marafiki. Mungu ametoa, Mungu ametaa, jina lake lihimidiwe.
Teddy Mapunda RIP Danny Mwakiteleko 'You’ll be missed by SBL Team and will bring tears to everyone. It’s terrible when a person’s life becomes shorten by the quickest moments with so much to live for. You have brought happiness and joy to many people, for that is a true blessing for one to live for. R.I.P Danny
Teddy Mapunda Yes it is indeed! We were together in Arusha Moshi less than a week ago during editors Forum! This is the reminder from Allah that life is too short and we need to love each other and celebrate life together
Cecilia Mhina Ooh! Poleni sana jamani miaka ya mwanadamu duniani si mingi, Mungu huchuma ua lake wakati wowote apendao Mungu ailaze Roho ya Danny mahali pema Amen!
Moshi Goodluck Poleni sana familia ya Danny Mwakiteleko na wafanyakazi wa New Habari (2006) Ltd ,ndugu, jamaa na marafiki kwa msiba huu mzito.I will really miss his news from RAI magazine.Rest in Erternal peace my friend Danny!!
Zena Chande Ndugu yangu, matonya aliimba dunia mapito, tuwaombeni waliokufa waende salama, mimi na wewe hatujui siku yetu lini, pumzika kwa amani kaka Danny 'Patna', siku moja tutakutana
Adam Fungamwango Poleni sana wote walioguswa na msiba huu ndugu jamaa, marafiki na wafanyakazi wenzake na hata sisi wenyewe waandishi! Ni kweli amekwenda Danny inauma sana, itabaki historia yake!
Benjamin Thompson Ooooh God Ooooh God why call our brother Danny Mwakiteleko now the time when we need him most!!May you please rest his soul in your eternal peace
Lwaga Mwambande Kazi ya Mungu haina makosa. Tumkumbuke Danny kwa mema yote aliyoyatenda wakati alipokuwa pamoja nasi.
Sudi Mnette Kazi ya Mungu!!
Peter Mgongo Ni msiba mkubwa kwa familia na jamii ya wana habari kwa ujumla, poleni wanafamilia wa marehemu Danny mwakiteleko mungu
awafariji ni mipango yake

Mroki T Mroki Kuna picha nimeziweka bloguni kwangu unaweza lia. Nikama alikuwa akituaga kule Arusha last week.
Bernard Rwebangira Duhh! nimeisikia muda c mrefu, RIP Danny!
Leah Mwainyekule He will surely be missed. So, so, so, sad jamani. Mwee!
Neema Mbuja Jaman mimi kama mwanahabari nimesikitishwa sana jamani sisi tulikupenda mungu amempenda zaidi
Rose Athumani Hee Mroki, kweli!!!Mungu amlaze mahala pema peponi!!! Still can't believe it!!!!
Geoffrey Ng'humba Pia tumwombee mwenzetu ndg. Kulekana, Mhariri msanifu wa DAILY NEWS ambaye anaumwa na amelazwa katika hospitali ya H. H. Agakhan Dar es Salaam. Mungu amwondolee adhabu ya maumivu na amjalie uponyaji wa haraka, Amen.
Exuper Kachenje Mungu ndiye hakimu na daima kazi yake haina makosa, Danny kwangu alikuwa mwalimu, nakumbuka alivyoniongoza kujiamini katika kazi yangu na kuwa makini. Katika hilo nitamkumbuka daima. Yeye ametangulia na kila mmoja na njia yake, lililo kubwa ni kumwombea Mwenyezi Mungu ampokee katika nuru ya uso wake mtakatifu apumzike kwa amani, Amina!!
Ibrahim Bakari Dah! Kamanda ametoweka, alikuwa si mhariri tu, pia ni kiongozi kwa waandishi, alikuwa mwalimu, alikuwa mtu wa changamoto katika uandishi wa habari. Kilichobaki tufuate yake mazuri. Mungu akupe amani ya milele, Danny.
Joseph Zablon Wengi tuliopitia katika mikono yake hatukutoka tupu, kuna ujumbe aliuleta duniani, amemaliza kazi yake na sasa kaenda kupumzika. Mungu ailaze mahali Pema Peponi Amina.....
Simba Deogratias RIP Danny.

Friday, July 22, 2011

Muswada wa kuongeza muda wa kunywa pombe kenya

Wanywa vileo nchini Kenya watakuwa na kila sababu ya kufurahia iwapo bunge la nchi hiyo litapitisha muswada wa sheria unaolenga pamoja na mambo mengine kuongeza muda wa kufunguliwa kwa sehemu zinazouza vileo (baa) kutoka muda wa sasa wa saa 6 hadi kufikia saa 12 kwa siku.

Kwa sheria iliyopo sasa, baa hufunguliwa kuanzia saa 11 jioni na kufungwa saa tano usiku kwa siku za kazi (week days). Iwapo muswada huo utapita, inamaana kuwa baa zitafunguliwa kabla ya saa 11 jioni na kufungwa baada ya saa tano usiku.

Muswada huo wa mabadiliko ya sheria ya udhibiti wa vileo [The Alcoholic Drinks Control (Amendment) Bill] uliowasilishwa na Mbunge wa Mt Elgon Fred Kapondi, ulisomwa kwa mara ya kwanza bungeni Alhamisi, Julai 21 mwaka huu. FILE PHOTO/NATION

Wandugu je hii ni hasara au ndo kampeni...??!!!

Rais Mwai Kibaki akiwasha moto meno ya tembo Jumatano Julai 20 mwaka huu katika Hifadhi ya Taifa ya Tsavo nchini Kenya, ikiwa ni jitihada za kupiga vita uwindaji haramu barani Afrika. Photo/LABAN WALLOGA/NATION
Moto ukikolea ukiteketeza meno ya tembo yaliyokamatwa sehemu mbalimbali. AFP PHOTO/Tony KARUMBA 

Tuesday, July 19, 2011

sudan kusini yazindua noti yake

Taifa jipya la Sudan Kusini limezindua fedha yake mpya ikiwa ni alama mojawapo ya utaifa.... noti hiyo inasura ya mpigania uhuru wa taifa hilo marehemu John Garang... kufuatia kuzinduliwa kwa noti hiyo.... Sudan Kaskazini nayo iko mbioni kuzindua fedha yake na kuachana na (Sudan pound) iliyokuwa ikitumiwa kabla ya kujitenga kwa Sudan Kusini. PICHA YA AFP

Wednesday, July 13, 2011

Rostam ajiuzulu nyadhifa CCM

 Aliyekuwa Mbunge wa Bukoba Vijijini na waziri wa nishati na madini Nazir Karamagi akijadiliana jambo na aliyekuwa Mbunge wa Igunga Rostam Aziz wakati wa mapumziko kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma Juni 11, 2008.
Aliyekuwa Mbunge wa Igunga Rostam Aziz akiwa amejiinamia ndani ya ukumbi wa bunge wakati Rais Jakaya Kikwete akilihutubia bunge mjini Dodoma Agosti 21, 2008. Wakati wa hotuba hiyo, Rostam alikaa kwa staili hiyo tangu mwanzo hadi mwisho wa hotuba hiyo. 

Mbunge wa CCM, viti maalum Kingunge Ngombale Mwiru (kulia) na jimbo la Igunga Rostam Aziz
wakiwa katika mkutano wa mashauriano baina ya wajumbe wa NEC na wabunge wa CCM uliofanyika mjini Dodoma Juni 15, 2008, chini ya uenyekiti wa Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho Rais Jakaya Kikwete.

Saturday, July 9, 2011

WANAHARAKATI MPO...?!!

Katika hali ambayo kwa kweli sio ya kawaida kuonekana, mzee mmoja akimtumia mlemavu kubeba taka hapo Kimathi Lane jijini Nairobi, Kenya. Katika hili wanaharakati mna kazi..!!

Mshkaji baada ya kupakia mzigo wa taka.... anasepa taratibu.....Nadhani angelikuwa na uwezo wa kuchongesha tolori..asingelimtumia mlemavu huyo na baiskeli yake....

PICHA KUMBUKUMBU BWANA

Mzee(kulia) akiwapanga wanawe watatu (kushoto) ili awapige picha mbele ya jengo la Nation Media Group jijini Nairobi, Kenya, huku wapitanjia wakimshangaa.

FOLENI AFRIKA KAMA KAWA

Msururu wa magari ndani ya jiji la Nairobi, Kenya..... kweli Afrika hali hii kila mahali.

KUFA KUFAANA

Kweli biashara matangazo....ndani ya jiji la Nairobi, Kenya, tangazo la biashara linaloonyesha huduma zitolewazo na kampuni moja inayotoa huduma za maziko..... hapa ukipata huduma unaambiwa karibu tena....!!

sura ya Obama dili kinoma Kenya...!!

Kibao kinachoonyesha huduma ya kupiga picha za passport size kikiwa na picha kama hizo za rais Obama na mkewe Michell, jijini Nairobi, Kenya.

MAPAPARAZI KWA NEWS

Wanahabari wa Nation Media Group kutoka Mwananchi Communications, Tanzania; The Daily Monitor, Uganda na Daily Nation, Kenya wakiangalia vichwa vya habari katika magazeti mbalimbali kwa muuza magazeti jijini Nairobi.

MADEREVA BABA YAO MMOJA

Hapa askari wa kampuni binafsi ya ulinzi akikatiza bila hata ya kumstua dereva kuwa amepaki mahala pasiporuhusiwa hapo Kimathi Lane jijini Nairobi.

Hapa nilifikiri anamuendea kumbe akapitiliza




Dereva akiwa amepaki gari yake kwa Kimathi Lane jijini Nairobi, Kenya, bila hata ya kujali kuwa ameegesha mahala pasiporuhusiwa.... sijua hakuwa anajua kusoma ama aliamua kutoheshimu maelekezo yalokuwepo kwa geti.




Mambo haya ya kuchakachua si mchezo







WANAHABARI MAFUNZONI NAIROBI

Wanahabari wa Nation Media Group kutoka Mwananchi Communications, Tanzania; The Monitor; Uganda na Daily Nation wakiwa katika studio za kituo cha televisheni cha NTV, Nairobi Kenya.


Hapa wakipata maelezo juu ya shughuli za studio kutoka kwa NTV production manager, Phillip Ondeng'.