Monday, August 22, 2011

Watu 23 wafa katika ajali Mbooni huko Machakos nchini Kenya

Baadhi ya wananchi wakiangalia mabaki ya basi lililopinduka na kutumbukia katika Mto Uwaani, karibu na Mbumbuni sokoni, tarafa ya Mbooni huko Machakos, Kenya, Jumamosi usiku. Watu 23 wakimemo ndugu wanne wa familia moja, waliokuwa wakitoka katika shughuli ya kutoa posa na mahari, wamepoteza maisha katika ajali hiyo ambayo inaelelezwa kuwa ni moja kati ya ajali mbaya zaidi za barabarani kutokea nchini Kenya mwaka huu.  Watu wengine 36 wamejeruhiwa katika ajali hiyo. Source: Daily Nation/ Photo Phoebe Okall

Polisi mkoani Kigoma yakamata 52 katika operesheni

 Bangi iliyokamatwa na polisi mkoani Kigoma
Jeshi la Polisi mkoani Kigoma linawashikilia watu 52 kwa tuhuma mbalimbali zikiwemo za ujambazi wa kutumia silaha na wizi wa vocha za simu za mkononi zenye thamani ya karibu shilingi milioni 63.2.
Kamanda wa Polisi mkoani Kigoma ACP Fraisser Kashai, amesema kuwa watuhumiwa 21 wamekamatwa katika wilaya ya Kigoma mjini, watuhumiwa 18 wamekamatwa katika wilaya ya Kasulu na wengine 13 katika wilaya ya Kibondo. Picha/ Pardon Mbwate, PT

Thursday, August 18, 2011

Sakata la wananchi kugombea mafuta baada ya lori kupinduka Kisumu, Kenya

 Askari polisi akitumia mbwa akijaribu kuwatawanya vijana waliokuwa wakichota mafuta yaliyomwagika kutoka katika lori lililopinduka katika kijiji cha Buoye huko Kisumu, Kenya jana (August 17).
 Mwanamke akiwa amekaa chini baadaya ya kulevywa na harufu nzito ya petroli iliyomwagiga..
 Mbwa wa polisi akijaribu kumkamata kijana ambaye anadaiwa kuchota mafuta....
 Askari polisi akifyatua risasi kuwatawanya wananchi waliokuwa wakirusha mawe baada ya kuzuiwa kuchota mafuta yaliyomwagika toka katika lori.
Mwanamke akisaidiwa kupelekwa hospitali baada ya kupata majereha ya risasi... SOURCE: DAILY NATION...PHOTO/ JACOB OWITI

Friday, August 12, 2011

R.I.P HASSAN MGHENYI

A seasoned business journalist and statistician, Mr Hassan Mghenyi (pictured), who was one of the founding reporters of The Citizen, died yesterday after a short illness.

Mr Mghenyi died at his Mbezi Mwisho home in Dar es Salaam.  He leaves behind a widow and two daughters.

Mr Mghenyi, whose journalism career spanned 15 years, was also the chief statistician of Mwananchi Communications Ltd (MCL) newspapers.His demise leaves a gap in analytical business reporting at the company in addition to being a big blow to Tanzania’s financial news fraternity.

His death will also be immensely felt by the informed public, which he has tirelessly served through the economic indicators and analysis pages of The Citizen and Mwananchi.Mr Mghenyi, who hailed from Singida Region, was born on September 6, 1963.

He worked with The Business Times for eight years before joining The Citizen in 2004.He previously worked with Tanzania Housing Bank (THB) from 1982 until 1994.

He was a building inspector at THB responsible for building valuation, preparation of housing loans and building inspection. Before and after joining the news industry, he attended courses on various aspects of reporting and financial coverage. He completed Form Four at Ifunda Technical Secondary School in Iringa Region in 1977. Thereafter, he joined Dar es Salaam Technical College for a certificate in Civil and Building Construction Engineering.
(source:- www.thecitizen.co.tz/news/4-national-news/13681-the-citizen-journalist-dies-in-dar)

Monday, August 8, 2011

Nani kakwambia mapenzi yanaangalia umri

Mzee Joseph Lwere, 85, akimvisha pete Bi Sarah Nanfuka, 24,  katika kanisa la Mt. Paul’s, huko Mukono nchini Uganda hivi karibuni. Picha/Newvision

Jamba Lane

Hawa jamaa wastaarabu... au?? ka-mtaa ndani ya Jiji la Nairobi.... Jamba Lane.....ni kwamba ikiwa wataka shusha ngurumo.... ndo mahala pake....

Thursday, August 4, 2011

Hii faini kwa smoking

Katika Jiji la Nairobi na miji mingine mikubwa nchini Kenya... uvutaji wa sigara hadharani na kwenye mikusanyiko ya watu pamoja na mitaani umepigwa marufuku... ukikamatwa tu ukivuta fegi... hiyo ndo adhabu yake.... kutokana na kuanzishwa kwa sheria hiyo..... maafisa watendaji wa  miji waliamriwa kutoa matangazo kwa umma kwa lugha ya kiswahili..... hapo ndimbo mbavu zinapovunjika.....nasikia wengine bado wanaandaa matangazo yao... hawajaweza maliza bado.... aliyepatia kidogo kiswahili ni wa mji wa Pwani.
The Coast Town Clerk:Uvutaji wa sigara umepigwa marufuku kuanzia leo.Watakaopatikana wakikiuka amri hii wataadhibiwa kwa mujibu wa sheria. Nyote zingatieni.

The Kiambu Town Clerk:Wanyuanji wa thigara washunge sana . Unyuanji wa thigara bere ya watu hata huko ije umefigwa marufuku na kaju kuanjia reo.

The Machakos Town Clerk:Wavulutanji tusikala wasunge sana . Sasa kuvuluta tusikala ni maluvuku na kanzu ya Masaku itawasukulia atua kuvwa sana.

The Kisumu Town Clerk:Atenson Plis!!! Mifuto sgara adharani sasa omepigwa marofuku. Okipaatwa ibiro yie Kodiaga! Apana furuta Plis!!

Wajir Town Clerk:Habana iko buruta sigara. Yeye lishapigwa marufuk na sisi tagaamata mutu
bhahala yaghe kiburuta.


Kericho Town Clerk:Gutoga leo gugunywa na gufuruta sigara sisi nagshagataasa. Haguna!! Charipu wee taona!!!