Thursday, December 31, 2009

Ni kutokujua kusoma au ukaidi...?


Mfanyabiashara ndogondogo akiuza ndizi katika eneo linalokatazwa kandokando ya barabara ya kuelekea hospitali kuu ya Mkoa wa Dodoma. Lakini kwa nyuma askari nao wakipita na hamsini zao, ingawa bango linalokataza biashara limeandikwa kuwa na amri halali..... Hapo sasa....

Monday, December 14, 2009

Usafiri Wilayani....

Usafiri maeneo ya wilaani si mchezo .... kama unavyoshughudia hapo katika picha nilizonasa kwenye barabara ya Dodoma-Kondoa..... hiyo land-rover 110 imejaza mizigo kupita kiasi huku jamaa wakiwa wanakula upepo juu..... hapa chini ni basi aina ya isuzu journey ..... tingo katoka juu kurekebisha mizigo wakati gari ipo katika mwendo... akabidi aingilie kwa dirishani...

Sunday, December 13, 2009

Ndani ya Dom: Str8Muzik Festival:InterCollege Special 2009

Waliofanya ridhim ziende vyema vilikuwa hivi vichwa...Ma-DJz hawa wakiwa kwa kazi.......
Hip Hop artist toka Kenya..... Nonini... al-mahruf kama..Genge.... akichana Keroooro.....

Wazee wa Keroro nao kwa floor wanazidi pagawa.......


Msaanii huyo nae .....Amani Swazagone... alikonga nyoyo za madent.... hapo royal village mjini Dom......

Izo Bizzness na Quick Racker wakifanya mambo kwa stage...... ebana si matani kilele cha Str8Muzik Festival:InterCollege Special 2009 ....'kilinoga kunoga.......'

Str8Muzik Festival;Intercollege Special 2009

Joe Makini a.k.a Mwamba wa Kaskaz.. akimwaga mistari wakati wa music bash.... Str8Muzik Festival:InterCollege Special katika hotel ya Royal Village mjini Dodoma usiku wa Jumamosi (Dec 12) kuamkia J'2 (Dec 13).
Mzee wa Shikide... Dully Sykes a.k.a Mr. Misifa akibembea na 'bamutu bataokota benyewe kunyavu.....'

Crowd ilikuwa hot... ukizingatia madent wa colleges za Dom... plus kilauri.... ilikuwa balaa......

Albert Mangwair....mwana wa East Zoo.... akiwaambia 'nipeni..nipeni deal masela.... nikamate mahela...'

Ndo hapo alipowachanganya wana East Zoo........