Friday, May 8, 2009
Soka la Bongo
Different Dates
WHITE WOMEN:
First date:
You get to kiss her goodnight.
Second date:
You get to grope all over and make out a bit.
Third date:
You get to have sex but only but only when
she wants to and only in the missionary position.
IRISH WOMEN:
First Date:
You both get blind drunk and have sex.
Second Date:
You both get blind drunk and have sex.
20th Anniversary:
You both get blind drunk and have sex.
ITALIAN WOMEN:
First Date:
You take her to a play and an expensive restaurant.
Second Date:
You meet her parents and her Mom makes spaghetti & meatballs.
Third Date:
You have sex, she wants to marry you & insists on a 3-carat ring.
5th Anniversary:
You already have 5 kids together & hate the thought of having sex.
6th Anniversary:
You find yourself a Mistress.
CHINESE WOMEN:
First date:
You get to buy her an expensive dinner but nothing happens.
Second date:
You buy her an even more expensive dinner. Nothing happens again.
Third date:
You don't even get to the third date and you've already realized nothing
is ever going to happen.
INDIAN WOMEN:
First date:
Meet her parents.
Second date:
Set the date of the wedding.
Third date:
Wedding night.
BLACK WOMEN:
First Date:
You get to buy her a real expensive dinner.
Second Date:
You get to buy her and her girlfriends a real expensive dinner.
Third Date:
You get to pay her rent.
Tenth Date:
She's pregnant by someone other than you.
MEXICAN WOMEN:
First Date:
You buy her an expensive dinner, get drunk on Tequila, and have sex in
the back of her car.
Second Date:
She's pregnant.
Third Date:
She moves in. One week later, her mother, father, her
two sisters, her brother, all of their kids, her grandma, her sister's boyfriend and his
three kids move in and you live on rice and beans for the rest of your life in your home that used to be nice, but now looks like a home along the
JEWISH WOMEN:
First Date:
You will have to spend all your money to impress
Second Date:
You will take a loan to keep the image
Third Date:
Your are broke, she finds someone wealthier
ARAB WOMEN:
First Date:
Mother, Father, Brothers, Sisters, Cousins, Aunts, Uncles, Friends and entire Arab community finds out.
Second Date:
Guy is shot dead.
No third date!!!
Hii imetoka kwa mdau Emma Ndossi aliyeko UK.. Shukran...
Thursday, May 7, 2009
Njaa noma..!!!
Tuesday, May 5, 2009
Mafua ya ' Ze Hot-chair'
Mazingaombwe au mazingara...??
Friday, April 3, 2009
Daladala yawaka moto.....
Baadhi ya wakazi wa eneo la Majengo mjini
Kifo hiki kinamashaka...!!!
Monday, March 30, 2009
Sita TRL wakamatwa
Wnaoshikiliwa ni pamoja na wakuu wa stesheni hizo mbili, dereva wa treni ya mizigo, pamoja na wasaidizi wake watatu.
Serikali imetoa siku tatu kuanzia leo kwa mkuu wa idara ya polisi katika shirika hilo kutoa maelezo ya kina juu ya mazingira yaliyosababisha kutokea kwa ajali hiyo. Manzingira ya awali yanaonyesha kuwepo kwa uzembe pamoja na hujuma uliosababisha kutokea kwa ajali hiyo.
Ajali ya Treni Msagali Mkoani Dodoma
Friday, March 27, 2009
JK abadilisha safu ya wakuu wa wilaya
Rais Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko katika safu ya Wakuu wa Wilaya nchini ambapo amewateua 15 wapya, kuwastaafisha saba, kuwabadilisha vituo vya kazi wakuu 54 wa wilaya na wawili wakiwekwa benchi wakisubiri kupangiwa kazi nyingine.
Wakuu wapya wa Wilaya walioteuliwa ni Bi. Mercy Silla (Arumeru, Arusha), Bw. Norman Sigalla (Hai, Kilimanjaro), Col. Issa E. Njiku (Misenyi, Kagera), Bi. Angelina Mabula (Karagwe, Kagera), Dkt. Rehema Nchimbi (Newala - Mtwara), Francis Isaac (Mbulu, Manyara), Lt. Col. Benedict K. Kitenga (Rorya, Mara) na Lt. Col. Cosmas Kayombo (Mbarali, Mbeya).
Wengine ni Bw. Christopher Ryoba Kangoye (Kwimba, Mwanza); Bi. Queen Mwanshinga Mlozi (Ukerewe, Mwanza); Bi. Fatuma Mwassa (Mvomero, Morogoro); Bi. Fatma Ally (Nanyumbu, Mtwara); Bw. Juma Solomon Madaha (Tunduru, Ruvuma); Bw. Anatory Choya (Kishapu, Shinyanga) na Bw. Erasto Sima (Korogwe, Tanga).
Waliostaafishwa ukuu wa wilaya (vituo vyao kwenye mabano) ni Bw. Elias Maarugu (Misenyi, Kagera); Bw. Deusdedit Mtambalike (Muleba, Kagera); Bw. David Holela (Babati, Manyara); Bi. Hawa Ngulume (Mbarali, Mbeya); Bw. Mashimba H. Mashimba (Kyela, Mbeya); Col. Peter Madaha (Nyamagana, Mwanza) na Bw. Gilbert Dololo (Kibaha , Pwani).
Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI) inaonyesha kuwa Wakuu wa Wilaya wawili, Bw. Patrick Tsere aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala (
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Lindi (Lindi) Bw. Martin Shigela kwa sasa ni Katibu Mkuu wa UVCCM wakati aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai (Kilimanjaro) Bi. Husna Mwilima ambaye kwa sasa ni Katibu Mkuu wa UWT.
Sunday, March 22, 2009
Magereza watunukiwa nishani
Kamishna Mkuu wa Jeshi la Magereza, Augustino Nanyaro akimvisha Nishani ya Utumishi Uliotukuka, SSP Kimangano Kivaria wakati wa sherehe fupi ya kutunuku nishani kwa askari na maafisa 301 wa jeshi la Magereza iliyofanyika katika viwanja vya Gereza Kuu la Isanga mjini
Thursday, March 19, 2009
Yako wapi Maisha bora kwa kila Mtz...?
Ni kutokuelewa au ukaidi tu...?
Wednesday, March 18, 2009
malya ahukumiwa miaka 3 jela
Deus Malya akisindikizwa rumande mara baada ya mahakama mjini
Malya alikuwa pamoja na marehemu Chacha Wangwe wakati gari walimokuwa wakisafiria kutoka Dodoma kuelekea Dar es Salaam lilipopata ajali eneo la Pandambili kiasi cha Kilomita 120 kutoka mjini Dodoma.
Tuesday, March 17, 2009
Hii ya MU7 kiboko.....
Thursday, March 12, 2009
Mbunge wa Busanda afariki dunia

Mbunge wa Busanda kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, Kabuzi Faustine Rwilomba amefariki dunia nchini
Kwa mujibu wa tovuti ya Bunge, Marehemu Rwilomba alizaliwa tarehe 15 Mwezi Juni 1952 na kupata elimu ya msingi katika shule za msingi Kabugozo 1964-1968 na baadaye Chewamba 1968- 1970.
Marehemu Rwilomba alipata elimu ya sekondari katika shule ya Nsumba 1971-1974 na baadaye kujiunga na chuo cha ualimu cha Korongwe ambapo alipata mafunzo ya daraja la IIIA mwaka 1975 -1976 na kutunukiwa cheti.
Alijunga na Chuo cha Ualimu Butimba mwaka 1981-1983 ambapo alipata Stashahada ya ualimu ya Sanaa (Diploma in Arts) na baadaye Chuo cha Ualimu Morogoro mwaka 1983 -1985 na kupata stashahada ya Elimu (Diploma in Education).
Mwaka 1987-1991 alijiunga na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na kupata Shahada ya kwanza ya Ualimu (B.A in Education) kabla ya kuendelea chuoni hapo na kupata Shahada ya juu ya Uzamiri ya Elimu (M.A in Education) mwaka 1993-1995.
Marehemu Rwilomba alianza kazi
Mwaka 1985-1987 alifundisha katika Chuo cha Ualimu cha Ndala na baadaye kujiunga na Chuo cha Ualimu cha Butimba mwaka 1991-1992 akiwa Mshauri wa Wanafunzi. Mnamo mwaka 1992-1995 alijuinga na Chuo cha Ualimu Tarime
Aliingia katika ulingo wa siasa mwaka 2000 ambapo alichaguliwa kuwa mbunge hadi mwaka 2005 na kisha mwaka 2005 hadi mauti yalipomkuta.
Globu hii inawapa pole wanafamilia, wanabusanda wote, wabunge pamoja na wanandugu jamaa na marafiki.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi… Amen.
Wednesday, March 11, 2009
UVCCM yaalaani beduli lililomchapa kibao mwinyi
UVCCM imetoa tamko leo mjini
Ikumbukwe wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu mwaka 2005, mheshimiwa JK alikumbana na dhahma
Kichapo cha beduli......
Monday, March 9, 2009
mwanafunzi auawa....
Ubunifu ndo huu..
Saturday, March 7, 2009
Polisi wanasa bangi.....
Ndo zetuu.....!!!
Friday, March 6, 2009
Marehemu Uledi azikwa leo
Thursday, March 5, 2009
Michael Uledi katutoka....
Mwandishi wa habari wa Magazeti ya Mwananchi katika kituo cha Dodoma Michael Uledi amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Mirembe alipokuwa amelazwa baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Marehemu Uledi ambaye ameugua TB kwa muda mrefu alizaliwa mnamo mwaka 1969 katika Kijiji cha Buigiri wilaya ya Chamwino.
Marehemu ambaye ameacha Mke na mtoto mmoja atazikwa kesho Ijumaa kijijini kwao Buigiri.
Marehemu Uledi alisoma katika shule ya msingi Buigiri 1977-1983 na baadae mwaka 1986 alijiunga katika shule ya Sekondari ya Chidya wilaya ya Masasi ambako alimaliza kidato cha nne mwaka 1989.
Taarifa za kifo cha Uledi zilitolewa jana na Mke wa marehemu Agness Mzola baada ya kufika hospitalini na kuambiwa kuwa Maiko alikuwa amefariki dunia na ndipo alipoanza kutoa taarifa kwa ndugu na wahusika wa karibu na marehemu.
Mwaka 1990 alijiunga na shule ya sekondari ya Moshi kwa ajili ya masomo ya kidato cha tano na sita ambako alimaliza mwaka 1992 na baadae alijunga katika mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa mkoani Mara ambako alihitimu na kasha alikwenda Jijini Dar Es Salaamu ambako alifanya kazi katika makampuni ya watu binafsi kwa kipindi cha miaka miwili.
Uledi alijiunga na MAMET kwa ajili ya kozi ya Uandishi wa Habari kwa muda wa miezi mitatu na alipomaliza alijiunga na shirika la IPP mwaka 1998 ambapo alipangiwa kituo cha Dodoma akiwa ni Mwandishi wa magazeti ya Nipashe na Gadiani pamoja na Radio One.
Alijiunga na chuo cha Mipango na Maendeleo Vijijini kilichopo mjini Dodoma mwaka 2001 hadi 2003 ambapo alimaliza Shahada ya juu ya Mipango na Maendeleo Vijijini na kufanya kazi kwa muda mfupi katika shirika la Viwanda Vidogo mkoani Dodoma (SIDO) na baadae alihamishiwa katika kituo cha kazi Mtwara.
Mwaka 2004 hadi 2006 alifanya kazi katika Benki ya Exims katika wilaya ya Masasi akiwa ni Meneja Msaidizi wa Bank na baadae alikaa mkoani Morogoro kwa muda mfupi ambako alikuwa akiandika katika gazeti la serikali la Habari Leo.
Januari mwaka 2007 alijiunga na kampuni ya Mwananchi Communications ambao ni wachapishaji wa magazeti ya Mwananchi,Citizen na Mwanasport kazi aliyoifanya hadi mauti yanamchukua.
Alikuwa ni mjumbe katika umoja wa waandishi wa habari za Bunge ambae alikuwa akiwakilisha mkoa wa
Uledi ameacha mke na mtoto mmoja na taratibu za mazishi zinafanyika kwa kushirikiana kati ya kampuni la Mwananchi na ndugu wa marehemu nyumbani kwa Marehemu Nkuhungu mjini Dodoma, mwili wa marehemu unatarajia kusafirishwa leo kwenda Kijijii kwao Buigiri Kilomita 35 kutoka Dodoma mjini ambako mazishi yatafanyika leo saa 5 asubuhi.



