Rashida Khatoon Sunday, April 19, 2009 4:12 AM Mwanamke mmoja nchini India amejipatia umaarufu na kuwa gumzo nchi nzima kutokana na hali yake ya kutoa machozi ya damu kila anapolia. Rashida Khatoon mkazi wa mji mmoja kaskazini mwa India, amewashangaza hata madaktari kwa hali yake hiyo ya kutiririka machozi ya damu kila anapolia.
Kwa siku mwanamke huyo humwaga chozi la damu mara kadhaa.
"Sisikii maumivu yoyote, badala ya machozi ya kawaida, damu zinapotitirika ni kitu cha kushangaza" alisema mwanamke huyo ambaye amekuwa gumzo sana nchini India.
Viongozi wa dini wa India wanadai kwamba mwanamke huyo ni miujiza toka mungu.
Kutokana na umaarufu mkubwa aliojizolea mamia ya watu wamekuwa wakimiminika nyumbani kwa mwanamke huyo kujishuhudia wenyewe kwa macho yao.
Wageni hao wamekuwa wakimmiminia mwanamke huyo na familia yake zawadi kadhaa kila wanapomtembelea nyumbani kwake.
Gari ikiwa imetupwa kiasi cha mita 50 toka mahala ilipogongwa na kiberenge eneo la majengo mjini Dodoma hivi karibuni wakati dereva akitaka kuwahi kuvuka kabla ya kiberenge hicho kupita.
Baadhi ya mashuhuda wakiangalia gari hilo ambapo hata hivyo hakuna abiria aliyejeruhiwa saaana.....
Mmoja wa walioshughudia ajali hiyo akijaribu kuelezea ilivyotokea....si unajua jinsi tulivyo hodari katika kusimulia.... kama movie vile.....!!!
Kijana Meshark Simon akiwa amelala hajitambui jana baada ya kupewa kitu kinachodhaniwa kuchanganywa na dawa za kulevya alipokuwa safarini kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma katika basi la Kilimajnaro Line na kuibiwa vitu alivyokuwanavyo ikiwa ni pamoja na simu ya kiganjani na fedha.
Utingo wa Basi la Kilimanjaro Line akijaribu kumuuliza ilivyotokea kijana Meshark Simon. Jamani abiria mjihadhari na watu msiowajuwa mkiwa safarini....!!!
Eric Silverman akipiga picha ya video waliposimama kwa muda katika hoteli ya Dodoma Hotel....
Aaron Bodansky (kulia) na Eric Silverman wakizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma wakiposimama kwa muda wakiwa njiani kuelekea jijini Nairobi Kenya wakitokea Cape Town, Afrika Kusini kwa kutumia baiskeli, katika kampeni yao ya kubadilisha fikra na mtazamo wa wamarekani juu ya Bara la Afrika. Jamaa hawa wawili ambao nao pia ni Wamarekani wamemaliza safari yao hiyo salama bin salmin.
Hapa Aaron Bodansky akielezea jinsi hali ya safari yao ilivyokuwa tangu walipoingia katika mpaka wa Tanzania hadi kufika Dodoma.
Majeruhi aliyetwangwa na kitu kizito kichwani na majambazi wapatao sita ambao baada ya kuteka magari matatu likiwemo basi la abiria, walitoroka kwa kutumia gari ya majeruhi huyo. Kwa mujibu wa Polisi, majambazi hayo yaliuawa na wananchi wenye hasira.
RPC wa Dodoma akikagua baadhi ya vitu zikiwemo simu 25 za kiganjani, mkwanja cash Sh1.95, binduki mbili, mapanga na visu walivyokuwa wanatumia majambazi hayo.
Hapa kamanda akizungumza na wakazi wa Dodoma nje ya chumba cha maiti katika hospitali ya mkoa ambapo miili ya watu hao sita ilikuwa imehifadhiwa.
Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dkt. Julius Kivelia akiwasilisha mada wakati wa mdahalo wa wazi juu ya masuala ya uzazi wa mpango ulioandaliwa na Engender Health na kufadhiliwa na shirika la USAID mjini Dodoma. Huyu Mtaalam anasema kuwa kasi ya ongezeko la Idadi ya Watu nchini Tanzania ni kubwa mno ijapokuwa ukimwi unaendelea kupunguza watu wengi... na kwamba itaongezeka na kufikia watu millioni 90 katika miaka ya 2035 ikiwa hatua madhubuti za uzazi wa mpango hazitachukuliwa.
Baadhi ya wakazi wa Dodoma wakiangalia Kobe mwenye umri wa miaka 151 wakati wa maonesho ya nanenane yaliyomalizika hivi karibuni. Wataalam wanasema kuwa Kobe anauwezo wa kuishi kwa takriban miaka 500.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. James Nsekela akimkabidhi mwanafunzi wa darasa la saba wa shule ya msingi Kongwa Debora Hongole Baiskeli ikiwa ni zawadi ya usindi katika mitihani ya majaribio kwa masomo ya Hisabati na Sayansi. Zawadi hizo zimetolewa na Benki ya CRDB.
Ofisa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Mkoani Dodoma (RCO) akionyesha bunduki aina ya SMG yenye nambari NM 181739 iliyokamatwa toka kwa majambazi mjini Dodoma ikiwa na risasi 21. Watu kadhaa wanashikiliwa kuhusiana na matukio hayo ya uhalifu wa kutumia silaha mkoani humo.
Kijana Steven Onesmo (25) aliyetinga kinyume cha taratibu katika eneo la viwanja vya bunge mjini Dodoma na kutishia kushambulia walinzi kwa kisu akidhibitiwa na wanausalama.
Hapa akitiwa katika londo la wana usalama kuelekea kituoni...
Shughuli ya kumpakia haikuwa ndogo.... kijana hiyo ambaye inasadikiwa kuwa ni chizi alileta maroroso mno.,...
Meneja Habari wa umoja wa mashirika yasiyo ya kiserikali (TANGO) Zaa Twalangeti (kulia) akitoa maalezo wa baadhi ya watu waliotembelea banda ya asasi hiyo wakati wa maonesho ya asasi za kiraia katika viwanja vya bunge mjini Dodoma.
Mshindi wa shindano la onesho la luninga la Maisha Plus Abdul (kulia) akiwa na watayarishaji wa shindano hilo wakifurahia jambo na Naibu waziri wa Fedha Omar Yusuf Mzee (kushoto) wakati walipotembelea bungeni mjini Dodoma jana. Katikati ni Mbunge wa Mchinga Mudhihir Mudhihir.
Gari aina ya Land Cruiser ambalo Mbunge wa Kyela Dr. Harrison Mwakyembe alimokuwa akisafiria kutoka Kyela kwenda jijini Dar es Salaam likiwa katika eneo lililopata ajali mkoani Iringa jana.... Kwa kweli mzinga adi cruiser katika hali hii inaonyesha kuwa ilikuwa moto chini kinoma...... Hivi ajali hizi za mara kwa mara kwa waheshimiwa hawa ni kutokana na mwendo kasi... ubovu wa magari... kutokuwa makini kwa madereva.... ama.....mkono...wa m2..!!?
Polisi wakiwasili eneo la tukio muda mchache baada ya watu wanne kupora kiasi cha Sh80 toka kwa mfanyabiashara mwenye asili ya kiasia katika moja ya vituo vyake vya kuuza mafuta mjini Dodoma mwanzoni mwa wiki... Hapa wakipata maelezo ya awali kutoka kwa watu walioshuhudia tukio hilo jinsi mchezo ulivyochezwa mchana majira ya saa sita hivi... Hapa wakiangalia maganda ya risasi zilizofyatuliwa na majambazi hao ili kutisha wananchi wasilete longolongo.... Gari lililotumiwa na watu hao wanne wanaosadikiwa kuwa ni majambazi likiwa limetelekezwa eneo la makole mjini Dodoma.... Hapa mdosi aliyeporwa cash akipelekwa wodini kutoka chumba cha upasuaji katika hospitali ya mkoa alipopekekwa kwa matibabu baada ya kutwangwa shaba ya kisigini mguu wa kushoto.... mdodi mwenzie akiwaka kutotaka tukio hilo lisirekodiwe na kuwekwa katika kumbukumbu zatu....
Wakati refa ukiboronga wachezaji wanakukoromea...... huku kwetu idodomya mashabiki ndo wanafanza kazi yao... refa unaletewa nyuki kibao uwanjani.... Taswira hiyo hapo juu ni wakati wa pambano la ligi kuu kati ya wenyeji Polisi na wakata miwa wa Mtibwa morogoro... nyuki walivamia uwanjani mara kadhaa na kufanya wachezaji pamoja na refa kulala chini au kuchukumaa kujinusuru wasijepatwa mandundu....
Hey guys, I don't agree with this one….but still funny..!!
WHITE WOMEN:
First date:
You get to kiss her goodnight.
Second date:
You get to grope all over and make out a bit.
Third date:
You get to have sex but only but only when
she wants to and only in the missionary position.
IRISH WOMEN:
First Date:
You both get blind drunk and have sex.
Second Date:
You both get blind drunk and have sex.
20th Anniversary:
You both get blind drunk and have sex.
ITALIAN WOMEN:
First Date:
You take her to a play and an expensive restaurant.
Second Date:
You meet her parents and her Mom makes spaghetti & meatballs.
Third Date:
You have sex, she wants to marry you & insists on a 3-carat ring.
5th Anniversary:
You already have 5 kids together & hate the thought of having sex.
6th Anniversary:
You find yourself a Mistress.
CHINESE WOMEN:
First date:
You get to buy her an expensive dinner but nothing happens.
Second date:
You buy her an even more expensive dinner. Nothing happens again.
Third date:
You don't even get to the third date and you've already realized nothing
is ever going to happen.
INDIAN WOMEN:
First date:
Meet her parents.
Second date:
Set the date of the wedding.
Third date:
Wedding night.
BLACK WOMEN:
First Date:
You get to buy her a real expensive dinner.
Second Date:
You get to buy her and her girlfriends a real expensive dinner.
Third Date:
You get to pay her rent.
Tenth Date:
She's pregnant by someone other than you.
MEXICAN WOMEN:
First Date:
You buy her an expensive dinner, get drunk on Tequila, and have sex in
the back of her car.
Second Date:
She's pregnant.
Third Date:
She moves in. One week later, her mother, father, her
two sisters, her brother, all of their kids, her grandma, her sister's boyfriend and his
three kids move in and you live on rice and beans for the rest of your life in your home that used to be nice, but now looks like a home along the Tijuana strip.
JEWISH WOMEN:
First Date:
You will have to spend all your money to impress
Second Date:
You will take a loan to keep the image
Third Date:
Your are broke, she finds someone wealthier
ARAB WOMEN:
First Date:
Mother, Father, Brothers, Sisters, Cousins, Aunts, Uncles, Friends and entire Arab community finds out.
Second Date:
Guy is shot dead.
No third date!!!
Hii imetoka kwa mdau Emma Ndossi aliyeko UK.. Shukran...
wahudumu wa msosi katika sherehe moja hivi karibuni baada ya kubanwa na nenge waliamua kuanza kupata msosi kabla ya waalikwa wenginewe katika staili ambayo wasingeshtukiwa kirahisi....
Ati huko kwa pharao wanataka angamiza hawa viumbe wa sir God bureee... wakati huku kwetu sie wala hatuna taaabu nao... tunawachunga malishoni kama hivi uonavyo.... afu baadaye twawapeleka kwa mpareee....!!!
Vijana wakifanza mazingaombwe wakidai ni waganga wa kienyeji (jadi) wenye uwezo wa kutatua shida na matatizo ya watu.... utapeli mtupu... watu kadhaa washalizwa kwa mtindo huo mjini Dom.
Baadhi ya wakazi wa eneo la Majengo mjini Dodoma wakiangalia gari aina ya Totota Hiace lenye namba za usajili T201ABC lililoteketea kwa moto juzi. Walioshughudia ajali hiyo ambayo hivyo hakuna mtu aliyejeruhiwa wameeleza kuwa chanzo chake ni hitilafu ya umeme........
Hapa viti kushneikgh....tukauze vyuma chakavu......
Baadhi ya wakazi wa mji wa Dodoma wakiwa wamelizunguka gari ya polisi iliyobeba mwili wa mfanyabiashara maarufu mwenye asili ya kiasia, Karim Thawer maarufu kwa jina la Saldina huku bado hawaamini kama kweli katutoka...... Wananchi wakisaidiana na askari kuweka mwili wake kwenye gari(juu)..... (chini) mwili ukitolewa ndani ya duka ambako ndiko kuna ofisi yake...... Hivi ndivyo alivyokutwa marehemu Karim Thawer akiwa ofisini kwake huku amekwisha aga dunia..... Kulikuwa na vitu vyeupe mithili ya povu na mezani pake palikuwa na funguo zake mbalimbali......hotpot ilitokuwa na msosi kiaina... pembeni yake kuna makasha ya dawa... Haikuweza kufahamika mara moja nini kilikuwa chanzo cha kifo chake.... Mwenyezi mungu amlaze mahala pema peponi....
Wafanyakazi sita wa shirika la reli TRL wanashikiliwa na polisi kuhusiana na ajali ya treni iliyotokea eneo la Msagali katikati ya stesheni ya Gulwe na Igandu wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma.
Wnaoshikiliwa ni pamoja na wakuu wa stesheni hizo mbili, dereva wa treni ya mizigo, pamoja na wasaidizi wake watatu.
Serikali imetoa siku tatu kuanzia leo kwa mkuu wa idara ya polisi katika shirika hilo kutoa maelezo ya kina juu ya mazingira yaliyosababisha kutokea kwa ajali hiyo. Manzingira ya awali yanaonyesha kuwepo kwa uzembe pamoja na hujuma uliosababisha kutokea kwa ajali hiyo.