Saturday, February 20, 2010
Wajeda na mavituz yao
Hawa jamaa wako fiti kinoma
Monday, February 8, 2010
Air Zara Ikitua jana
Taa kushneh....Uzembe wa madereva
Air Zara yazindua safari Dom
Wabunge wa Uganda wakizimia Chuo Kikuu Dom
Siku ya Kupiga Vita Ukeketaji
Thursday, December 31, 2009
Ni kutokujua kusoma au ukaidi...?
Monday, December 14, 2009
Usafiri Wilayani....
Sunday, December 13, 2009
Ndani ya Dom: Str8Muzik Festival:InterCollege Special 2009
Str8Muzik Festival;Intercollege Special 2009
Sunday, October 18, 2009
Moh Trans yapata ajali
Tuesday, October 13, 2009
Mwanamke Anayetoa Machozi ya Damu Kila Anapolia
Rashida Khatoon Sunday, April 19, 2009 4:12 AMMwanamke mmoja nchini India amejipatia umaarufu na kuwa gumzo nchi nzima kutokana na hali yake ya kutoa machozi ya damu kila anapolia. Rashida Khatoon mkazi wa mji mmoja kaskazini mwa India, amewashangaza hata madaktari kwa hali yake hiyo ya kutiririka machozi ya damu kila anapolia.
Kwa siku mwanamke huyo humwaga chozi la damu mara kadhaa.
"Sisikii maumivu yoyote, badala ya machozi ya kawaida, damu zinapotitirika ni kitu cha kushangaza" alisema mwanamke huyo ambaye amekuwa gumzo sana nchini India.
Viongozi wa dini wa India wanadai kwamba mwanamke huyo ni miujiza toka mungu.
Kutokana na umaarufu mkubwa aliojizolea mamia ya watu wamekuwa wakimiminika nyumbani kwa mwanamke huyo kujishuhudia wenyewe kwa macho yao.
Wageni hao wamekuwa wakimmiminia mwanamke huyo na familia yake zawadi kadhaa kila wanapomtembelea nyumbani kwake.
http://www.nifahami
Friday, August 28, 2009
Uzembe mwingine bwana... wee wacha tu...!!!
Thursday, August 27, 2009
Mavituz ya Traffic police huyu.. balaa...!!
Download uone mavitu ya huyu traffic akiongoza magari.....kama angelikuwa bongo.. sidhani kama angelikuwepo hai.....!!!!
Mjihadhari na watu msiowajua mkiwa safarini...!!!
Wednesday, August 26, 2009
Je hii ni mikogo au taabu ya usafiri...?
Tuesday, August 25, 2009
Cycle For Understanding mission....
Vibuyu
Sakata la majambazi Dodoma
Majeruhi aliyetwangwa na kitu kizito kichwani na majambazi wapatao sita ambao baada ya kuteka magari matatu likiwemo basi la abiria, walitoroka kwa kutumia gari ya majeruhi huyo. Kwa mujibu wa Polisi, majambazi hayo yaliuawa na wananchi wenye hasira.
Subscribe to:
Posts (Atom)





