Thursday, January 1, 2009

Kumbe hii ndio bahi….!!

Mbuzi aliyekuwa akila ride juu ya kichwa cha scania akiangalia mandhari ya bahi wakati lori hilo lililokuwa safarini liliposimama kwa muda maeneo hayo …..

Punda TZ dili...!!!

Huyu Mwaha mkazi wa eneo la maili bee mjini idodomya akiswaga punda wake wakirejea kukaya baada ya kusaka wateja wa mkaa ambao amembebesha punda huyo. Baada ya kulonga nae kiaina nikiulizia iwapo anaweza kuuza punda huyo, hakusita kunipa bei ya kilo moja unusu...!!!