Monday, March 9, 2009

mwanafunzi auawa....

Polisi wakichukua mwili wa Marehemu Willy Nyange(17) ambaye alikutwa ameuawa huku akiwa na majeraha kichani katika eneo la uwanja wa Shule ya sekondari Central mjini Dodoma.

Ubunifu ndo huu..

Nauli zimepanda sasa hivi kila mmoja anabuni usafiri wake ili aokoe gharama pichani wanaonekana wakazi wa chanika wakiwa katika pikipiki yenye matairi matatu, watu wengi waliishangaa kutokana na muundo wake.

Mwananchi -9/17/2008