Monday, July 25, 2011

Kamanda Magufuli upo...? Wao waweze wana nini na sie tushindwe kwanini?

 Moja kati ya Fly-over nyingi zinazoendelea kujengwa jijini Nairobi... ikiwa ni jitihada za kupunguza msongamano barabarani..... Sasa sie wabongo sijue tume..gwa.... coz hadithi za fly over ni nyingi mno kuliko utekelezaji......Wao waweze wana nini na sie tushindwe kwanini?




Tempo....

 Nilivutiwa na hicho kifaa katika tempo moja jijini Nairobi... sijui tukiite gari... tolori ama nini??... kwa wale wanaojua tuelezeni kazi yake

Mambo ya Kispoti

 Jamaa akiranda mitaa ya jiji la Nairobi... na ka-sports......
Ila ukiwa bongo... na juu lilivyo kali na vyua sizizoeleweka soo kichizi...

Marikiti..Kisutu yao

 Soko la Ngara jijini Nairobi maarufu kwa matunda na mboga za majani.... kwa wakazi wa Saridalama.. ni kama vile la Kisutu... wadosi ndo kwao....