Jamaa akiwa maeneo ya kikuyu katika barabara ya Dom-Iringa akielekea kwenye minada vijijini akiendelea kusubiri abiria zaidi wakati ambapo ngoma yenyewe ishakula mgizo wa kutosha..... Kwa mtaji huu .....Hivi kweli tutafika...????
Mambo ya mawasiliano ya habari yamesaidia kwa kweli kuwakip intach wakazi wa vijijini na dunia jinsi inavyokwenda..... hii dish ni katika kijiji kimoja kinaitwa Mpwayungu....kilometa mingi tu kutoka dom manispaa....