Saturday, February 20, 2010

Wajeda na mavituz yao

Huyo jamaa mkufunzi wa makaratee...yuko fit kinoma.... hapa kanivunjia nazi kwa ngumi... si mchezoo.... niliikagua nazi hiyo kuona kama ilikuwa na ufa kabla ya kupasuliwa.... sikuona kitu....
Wazee wakivuka vikwazo mbali mbali....








Si mchezo babake......




Hawa jamaa wako fiti kinoma

Baadhi ya wahitimu wa mafunzo ya awali ya kijeshi wakioyesha umahiri wa Karate wakati wa gwaride maalum la kufunga mafunzo ya kozi ndefu katika Kambi ya Jeshi ya Makutupora mjini Dodoma mwishoni mwa wiki. Jumla ya wahitimu 549 wakiwemo wanawake 86 wamefuzu mafunzo hayo Endelea kuangalia upate uhondo....
Hapa mambo ya kujihami kwa singe.....huyo hapo ni binti..... naye yuko fit kinoma...

Wajeda wakila kiapo cha utii na uaminifu.....



Shingo kulia.... saluti


Mkuu wa Utendaji Kivita Jeshini Brigedia Jenerali Farah Abdi Mohamed akikagua gwaride maalum la vijana wake......