Thursday, August 27, 2009

Mavituz ya Traffic police huyu.. balaa...!!

Download uone mavitu ya huyu traffic akiongoza magari.....kama angelikuwa bongo.. sidhani kama angelikuwepo hai.....!!!!

Mjihadhari na watu msiowajua mkiwa safarini...!!!

Kijana Meshark Simon akiwa amelala hajitambui jana baada ya kupewa kitu kinachodhaniwa kuchanganywa na dawa za kulevya alipokuwa safarini kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma katika basi la Kilimajnaro Line na kuibiwa vitu alivyokuwanavyo ikiwa ni pamoja na simu ya kiganjani na fedha.
Utingo wa Basi la Kilimanjaro Line akijaribu kumuuliza ilivyotokea kijana Meshark Simon. Jamani abiria mjihadhari na watu msiowajuwa mkiwa safarini....!!!