Friday, March 6, 2009

Ushikwapo shikamana.....!!!!

Aliimba Jumbe......Penzi ni kikohozi kulificha huliwezi......!!!!

Marehemu Uledi azikwa leo

Waombolezaji wakitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa mwandishi wa habari wa kampuni ya Mwananchi Communications Limited, Marehemu Michael Uledi mjini Dodoma leo. Marehemu Uledi amezikwa leo kijijini kwao Buigiri nje kidogo ya mji wa Dodoma.