Saturday, January 3, 2009

Usafiri wa vijijini....


Dogo akiride ng'ombe wanaovuta mkototeni akiwa kwa njia katika kijiji cha mpunguzi kwenda chukua mbolea.....Ukiwa nayo hii bush kwetu.... uko juuu vibaya mno....

Vichwa TRL kweli vimechoka....!!!! Kumbe ndo maana enz za mwl waliitaga gari moshi...!!!

Injini ya treni ikitoka stesheni ya dom njiani kuelekea bara..... kilichonivutia ni hali ya utoaji moshi mwingi mno..... hii ni moja kati ya uchafuzi wa hali ya hewa........!!!

Kiu sooo...!!!

Mgambo aliyekuwa akiangalia usalama wakati wa mkutano wa hadhara kijiji cha nmpunguzi kilichopo nje kidogo ya manispaa ya dodoma katika barabara iendayo kwa wanyalukolo alishindwa kuvumilia na kundaka mama mmoja ampe malenga ga kunywa..... alipokuwa akitoka kisimani....Kiu kweli noma..... ila bora huyo kiu cha maji.... wenzangu na mie mna viu vingi.... vingine ata sivitaji....!!!

Mnaokuja Dom muwe macho....!!!

Eneo la mlima uliyopo dodoma makulu ambapo alimanusura matapeli watatu wawili kutoka dsm wakiwa na mwenyeji wao wamlize babu wa watu kutoka rombo kiasi cha sh40m...fedha ambayo babu huyo aliipata baada ya kuuza nyumba yake iliyopo dsm.... hata hivyo polisi mkoani dom walistukia game na kumwokoa babu huyo asitapeliwe......
Eneo hili ndilo babu huyo toka rombo alipoambiwa kuwa atazungumza na babu anayeweza fanya mazingara chapaa hizo Sh40m zikawa Sh600m.....
Hapa kuna mishumaa pamoja na udi ambayo huwashwa na kumpumbaza mtapeliwa kuwa ataongea na maruhani.... ila kwa mbele kama anapoelekea kamanda mmoja pichani kuna tundu la kutokea upande wa pili.... ila kwa juu yake kuna madondora kichizi.....!!!

MGAMBO SHUGHULI......!!!

SIO KWAMBA VIJANA HAWATAKIJIUNGA MGAMBO.... ZANA NDUGUYANGU....!!!

Vijana hawa wamefuzu mafunzo ya mgomba.... wakimsikiliza mgeni rasmi.... ila chek buti za washakaji hao wabee.....!!!

KIGELEGELE......!!!

Mdala wa kigogo akitwangwa kigelegele....!!!!
kigelegele kingine hicho...si mchezo.!!!!

MAJUKUMU HAYA YA KIFAMILIA ADI NGOMANI....?!!!!

Hebu nishkie mwanangu.... mie nikacheze ngoma....!!!
Ebana kumbe unakatika kichizi.....!!!!
Hebu acheni utani..... hawa wana mtakaanao tu.... hadi tumalize kucheza ngoma....!!!
Ebana mzee mwezangu hawa wanawake ngangari kichizi.... ila poa tu.....kubeba mtoto kwa nini!!!

KINADADA WAVUMILIVU KWELI.....!!!

Ingawa hupenda sana kusuka mitindo ya nywele ambayo wasusi wake hutokea katika jamii za wamasaai, inavyoonyesha kinadadazetu huwa wavumilivu sana... kwani mbali na kukaa kitako muda mrefu.... kajismell ambacho hutoka kwa wasusi hao.. hususan katika mkao kama huu unaoonekana pichani.....mhnmmn... mie chichemi....!!!

MADEREVA BWANA.... NOMA KICHIZI....!!!!

Haya sasa.... huyu naye tena anamdraiv mheshimiwa... ila angalia alipoegesha gari.....!!!!
Huyu naye baada ya kumwaga mchanga.... tipa limekataa kurejea sehemu yake.... akaamua kutambaa hivyo hivyo.... huku deiwaka wake akiwa nyuma kimashakamashaka....!!!
Mwingine kaamua tu kudharau ishara ya barabarani (kushoto) inayomwonyesha kuwa hiyo ni njia moja tu.... hairuhusu gari kuenda upande anaoelelea...........!!!!

ARE THESE GENDER ISSUES OR SEX INDIFFERENCIES....?!!!!

jAMANI HAPA TUNAKADIBEIT KAKIAINA..... HUSUSAN KWA UPANDE WA ADAMA HAWA JAMAA ZETU AKINA HAWA WAMEKUWA WAKILAUMU SANA KUHUSU KUACHIWA MZIGO WA MAJUKUMU KAMA VILE PICHA INAVYOONYESHA MAMSAP KABEBA ZIGO LA KUNI HUKU MZEE MWENZANGU AKIWA NA KIDUMU, JEMBE NA KAMFUKO KENYE NYANYA... AMBAPO WAKIFIKA HOME... MZEE MZIMA ATAKUNJA NNE HUKU MAMSAP AKIINGIA KWA JIKO KUREKEBISHA MENYU....!!! HEBU SOMA HAKO KAFUNGU KA MISTARI HAPO CHINI .... AFU DISAID MWENYEWE KWA MKICHWA......



ARE THESE GENDER ISSUES OR SEX INDIFFERENCIES....?!!!!
If you work too hard, there is never any time for her.
If you don't work enough, you're a good-for-nothing bum.

If she has a boring repetitive job with low pay, it's exploitation.
If you have a boring repetitive job with low pay, you should get off your butt and find something better.

If you get a promotion ahead of her, it's favoritism.
If she gets a job ahead of you, it's equal opportunity.

If you mention how nice she looks, it's sexual harassment.
If you keep quiet, it's male indifference.

If you cry, you're a wimp.
If you don't, you're insensitive.

If you make a decision without consulting her, you're a chauvinist.
If she makes a decision without consulting you, she's a liberated woman.

If you ask her to do something she doesn't enjoy, that’s domination. If she asks you, it's a favor.

If you try to keep yourself in shape, you're vain.
If you don't, you're a slob.

If you buy her flowers, you're after something.
If you don't, you're not thoughtful.

If you're proud of your achievements, you're an egotist.
If you're not, you're not ambitious.

If she has a headache, she's tired.
If you have a headache, you don't love her anymore.

Mambo ya Kumnadi...... Msalaatoooo...!!!!

jamaa akiweka vyema zagazaga mahususi... kwa mtafuno... maeneo ya kumnadi jirani tu kwa kwa mzee wa sumo... msalaatooo nje kidogo ya dom manisipo...... huko ni maarufu sana kwa bia choma na nyama.... kwa bei nafuuu...!!! kilo buku 4 tu....!!!
ila kinachowaliza hawa jamaa zangu ni kwamba machinjio holela kama ya huko kwenye kumnadi yamepigwa marufuku...kutokana na hijenik poposez...... sasa kuwalazimu wachinje katika machinjo ya kisasa yaliyopo kizootaa...!! wenzangu na mimi wasio na ubovu wa meno wanatia shaka juu ya kupanda kwa nauli ya nyama...... itakuwa sasa ikiuzwa zaidi ya buku 4 za sasa... yetu majicho wacha tusubiri tuone......

Hizi ngoma zilipigwa live... bila chenga....!!!!

Mjeda akikusanya njugu zilizotawanyika baada ya kutoka katika binduki....!!!
ziliwakuwa nyingi...... ila ushahidi lazima uishe.......usibaki ata chembe!!!
Hili la machozi halikulipuka....... watanganyika wakaliokota....!!!!
Mengine yaliyolipuka haya hapa.........!!!

TBT/KIMANGA-MWENGE hadi DOM

Daladala lenye TLB ya T/Kimanga-Mwenge jijini Dsm likila vicha mjini Dodoma karibu na stendi kuu ya mabasi yeendayo mikoani.......!!! Kweli eniwea...!!!

Mwaka mupya na lebal mpya

Wakazi wakisherehekea na bia bora yenye ladha saaaafi....!!!!