Wednesday, March 24, 2010

Chopper ya Chadema katika anga za Dom

Helikopta inayotumiwa na chadema katika operesheni sangara ikiwa katika anga za Dodoma... imekuwa ni kivutio kikubwa kwa wakazi wengi wa vitongoji.....

Chadema na Operesheni Sangara Dodoma

Helikopta ikiwasili maeneo ya Kibaigwa wilayani Kongwa...
Wakazi wa Kibaigwa wakiizunguka ....... wengine wanaishangaa... hawajawahi kuiona kwa karibu....

Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe akipokelewa kwa shangwe....


Mpiganaji Mbowe akimwaga sumu jukwaani......

Sumu zikiwaingia vyema wananchi hawa.......

Maadhimisho Siku ya Hali ya Hewa Duniani

Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma Beda Lagule akirusha pulizo ikiwa ni ishara ya maadhimisho ya Siku ya Hali ya Hewa Duniani yaliyofanyika kimkoa katika uwanja wa Ndege mjini Dodoma tarehe 23 March 2010.
Meneja wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Mkoani Dodoma Gaetan Mwikeve akimwonyesha Bw. Beda Lagule baadhi ya vifaa vinavyotumika kupima hali ya hewa wakati wa maadhimisho ya Siku ya Hali ya Hewa Duniani yaliyofanyika kimkoa katika uwanja wa Ndege mjini Dodoma




Majukumu kusaidiana babu....

Wakazi wa Dodoma ambao haikufahamika mara moja uhusiano baina yao wakiwa wamebeba watoto wadogo katika hali inayoonyesha kusaidiana majukumu
Majukumu kusaidiana babu....