Ndo maisha yalivyo....hususan kwa wanyama wasio na utashi......... mbabe ndo anaendelea kula hewa ya hii dunia......!!! sio lazima iwe porini tu.... ata uraiani....!!!
tofauti na usafiri wa bush kantri.... dauntaun urahisi upo kiaina kwani mbali na mtuka na tukutuku kuna ngwinjo.... kama anavyonekana jamaa kwa picha.... ila mshkaji anaonekana mchoyo kichizi.... kwani angemgea ata mwingine aendeshe adi wanapoenda...... WATU KAMA HAWA WAKIWA NA GARI... UKIMWOMBA LIFTI UTASKIA..."MAFUTA HAYATOSHI WATU WAWILI...." huku sura kageuzia asipokuangalia....!!!1 tehe tehe tehe...!!!