Monday, December 14, 2009

Usafiri Wilayani....

Usafiri maeneo ya wilaani si mchezo .... kama unavyoshughudia hapo katika picha nilizonasa kwenye barabara ya Dodoma-Kondoa..... hiyo land-rover 110 imejaza mizigo kupita kiasi huku jamaa wakiwa wanakula upepo juu..... hapa chini ni basi aina ya isuzu journey ..... tingo katoka juu kurekebisha mizigo wakati gari ipo katika mwendo... akabidi aingilie kwa dirishani...