Tuesday, April 9, 2013

UHURU KENYATTA INAUGURATED AS KENYAN PRESIDENT

President Uhuru Kenyatta aboard the ceremonial military land rover after he was sworn in as Kenya's fourth president on April 9, 2013. Photo|JOAN PERERUAN/MNG

Kenya's 4th President Uhuru Kenyatta receives a symbolic sword of power from outgoing President Mwai Kibaki (2L) after he was sworn into office on April 9, 2013 in Nairobi. AFP PHOTO / TONY KARUMBA

Kenya's 4th President Uhuru Kenyatta is sworn into office on April 9, 2013 in Nairobi by Chief registrar Gladys Sholei (L) as his wife Margaret (R) looks on. Uhuru Kenyatta was sworn in as Kenya's fourth president on Tuesday to thunderous cheers from tens of thousands of supporters, despite facing trial on charges of crimes against humanity. AFP PHOTO / TONY KARUMBA

MAGEREZA DODOMA WAKABIDHIWA MAGARI YA KISASA YA KUSAFIRISHA MAHABUSU KWENDA NA KURUDI TOKA MAHAKAMANI

Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini, Kamishna Jenerali John Minja akitoa hotuba yake kabla ya kuzindua mabasi mawili na gari ndogo moja (pick-up) kwa ajili ya kuwasafirishia mahabusu toka gerezani kwenda mahakamani na kurudi gerezani kwa Mkoa wa Dodoma. Katika hotuba yake mkuu wa jeshi hilo aliwataka maofisa magereza wa mkoa huo wawe makini kuyatunza magari hayo. Uzinduzi huo ulifanyika katika Gereza Kuu Dodoma Jumanne

Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini, Kamishna Jenerali John Minja, akikata utepe kuzindua rasmi jukumu la kuwasafirisha Mahabusu kutoka Gerezani kwenda Mahakamani na kurudi Gerezani kwa Mkoa wa Dodoma. Katikati ni Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma, Mary Shangali, kushoto ni Mkurugenzi wa Mashitaka nchini(DPP), Dk.Eliezer Feleshi ambao walikuwa katika uzinduzi huo uliofanyika katika Gereza Kuu Isanga Dodoma Jumanne

Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini, Kamishna Jenerali John Minja, akiwasha moja ya magari yaliyozinduliwa kuashiria uzinduzi wa kuwasafirishia Mahabusu kutoka Gerezani kwenda Mahakamani na kurudi Gerezani kwa Mkoa wa Dodoma. Uzinduzi huo ulifanyika katika Gereza Kuu Isanga Dodoma Jumanne.

Magari matatu ya kuwasafirisha Mahabusu yaliyozinduliwa na Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini, Kamishna Jenerali John Minja, katika hafla iliyofanyika Gereza Kuu Isanga Dodoma Jumanne. Picha zote na Felix Mwagara.

FUFA SACK UGANDA CRANES HEAD COACH

Mr Bobby Williamson’s four years and eight months as the national team, Uganda Cranes, coach have ended. The Federation of Uganda Football Association issued a notice of termination of contract to the Scotsman on Monday. Source/The Daily Monitor

Sudanes President Bashir to skip Kenya president inauguration

Sudan President Omar al-Bashir will skip Tuesday’s inauguration of Uhuru Kenyatta as Kenya's fourth Head of State.

This comes as a section of lawyers petitioned Attorney-General Githu Muigai to arrest and hand over President Bashir to The Hague in case he comes to Nairobi

Government spokesman Muthui Kariuki said the Sudan President had indicated that he would not attend the occasion in spite of being among the 54 Heads of State who were invited.

“President Bashir, like all other African presidents, was invited. However, I can confirm that he will not be attending,” he said.

The Kenya Chapter of the International Commission of Jurists (ICJ Kenya) warned that the country would be failing in its duties as a member state of the treaty establishing the International Criminal Court (ICC) if it allowed President Bashir, an indictee of The Hague, safe entry and exit.

In addition to the two warrants issued by the ICC, lawyers Wilfred Nderitu and Elias Mwenda reminded Prof Muigai that the High Court issued a provisional warrant compelling the government to arrest the Sudan President any time he sets foot on Kenya’s soil.

“As a State Party to the Rome Statute establishing the ICC,  Kenya is under an obligation to enforce the warrants by arresting and surrendering President Bashir to the ICC if he enters Kenyan territory,” they said in their petition. Source/NMG

UHURU KENYATA ACHOTA BUSARA KABLA YA KUAPISHWA LEO

Kenya's President-elect Uhuru Kenyatta (left) meets former President Daniel arap Moi at his Kabarnet Gardens residence in Nairobi County recently. Photo/PPS.. Source:NMG


JK AWASILI NAIROBI KUHUDHURIA KUAPISHWA KWA RAIS MTEULE UHURU KENYETTA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe mama Salma Kikwete wakipokea maua mara baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi tayari kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais wa Nne wa Kenya Mhe Uhuru Muigai Kenyatta na Naibu Rais wake Mhe William Ruto katika uwanja wa michezo wa Kasarani kesho April 9, 2013.(Picha na Ikulu)

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe mama Salma Kikwete wakilakiwa kwa heshima zote baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi tayari kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais wa Nne wa Kenya Mhe Uhuru Muigai Kenyatta na Naibu Rais wake Mhe William Ruto katika uwanja wa michezo wa Kasarani kesho April 9, 2013. (Picha na Ikulu)

Tuesday, November 15, 2011

MVUA YALETA DHAHAMA UWANJA WA NDEGE MWANZA

Ndege ya Shirika la PrecisionAir ikiwa katika maji katika uwanja wa Ndege wa Mwanza ambao ulijaa maji baada ya mvua kubwa kunyesha jana (Jumatatu).
Hivi ndivyo hali ilivyokuwa katika uwanja wa Ndege wa Mwanza hiyo jana (Jumatatu) baada ya mvua kuleta dhahama. 
Uwanja wa Ndege wa Mwanza ukiwa umejaa maji baada ya mvua kubwa kunyesha. Uwanja huo ulifungwa kwa takriban saa sita. Kiasi cha Abiria wapatao 200 waliathirika na hali hiyo. Picha/ RAY NALUYAGA

LEMA APATA DHAMANA

Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema akitoka mahakamani baada ya kupata dhamana jana (Jumatatu). Mbunge huyo alikaa rumande kwa takriban siku 14 baada ya kukataa dhamana ikiwa ni njia ya kuonyesha kutoridhishwa kwake na vitendo vya vyombo vya dola kumuandama. PICHA/  FILBERT RWEYEMAMU

ZOEZI LA KUONDOA KWA NGUVU WAKAZI ENEO LA MAKAO, WILAYANI MEATU, SHINYANGA


Moja kati ya familia zilizoondolewa kwa nguvu katika eneo la hifadhi (Wildlife Management Area) lililopo eneo la Makao Wilayani Meatu Mkoani Shinyanga. Eneo hilo hutumika kwa shughuli za kitalii na uwindaji. 
Moja ya nyumba zinazodaiwa kuchomwa moto katika zoezi la kuondoa kwa nguvu wakazi katika eneo hilo. Takriban kaya 625 zinadaiwa kuishi katika eneo hilo. Picha / Zulfa Mfinanga

Sunday, November 6, 2011

Prince of Wales and the Dutches of Cornwell in Tanzania for a four-day official visit

 Askari akiwa katika doria JNIA 
 Mapaparazi wakisubiria ujio wa Prince Charles na Mkewe Camilla
 Ngoma ziliendelea kutumbuiza
 Ndege iliyombeba Prince Charles and Mkewe Camilla akigusa ardhi ya Tanzania tabrikan saa 12:15 jioni (6:15PM)/ 16:15HRS) Jumapili. Hii ni safari ya pili kwa Prince Charles kutembelea Tanzania tangu alipozulu nchini Machi 1984  

 Mmoja wa Marubani akihakikisha kama ngazi imeshawekwa vyema kabla ya kufngua mlango wa ndege
 Prince Charles na Mkewe Camilla wakiteremka toka kwenye ndege
 Hapa wakiwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda wakiangalia tumbuizo toka kwa vikundi vya ngoma za asili
Ziara hii ya siku nne inafuatia mwaliko wa Rais Jakaya Kikwete aliotutoa kwa Prince Charles. Picha kwa hisani ya Fidelis Felix

Mahafali ya Nne ya Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu (DUCE)




Baadhi ya wahitimu wa Shahada ya Kwanza katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu cha Dar es Salaam cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wakifuatilia hotuba mbalimbali wakati wa mahafali ya Nne ya chuo hicho yaliyofanyika Jumamosi (Novemba 5) jijini Dar es Salaam ambapo wahitimu 786 walitunukiwa Shahada zao. Tangu mwaka 2005 chuo hicho kimeshatoa walimu 3,884 wenye Shahada ya Kwanza.

Sunday, October 30, 2011

JINSI YANGA ILIVYOUA MNYAMA UWANJA WA TAIFA

 Wachezaji wa Simba wakiomba dua.....
Shabiki la Yanga likionyesha ishara ya kumchinja mnyama na goli tatu... 
 Kikosi cha Yanga......
 Kikosi cha Simba kilichokuwa na matumaini....

 Kipa wa Yanga Yaw Berko akiwapanga mabeki...
 Mshambuliaji wa Simba Ulimboka Mwakingwe akimtoka beki wa Yanga Oscar Joshua
 Mashabiki wa Simba wakiwa wametundika bango..... Utani wa jadi tena ndo huu...
 Mshambuliaji wa Yanga Davis Mwape akiwania mpira na beki wa Simba Juma Nyosso

 Muuaji wa Mnyama, Davis Mwape wa Yanga na Juma Nyosso wa Simba katika moja ya hekaheka...
 Jinsi Davis Mwape alivyowatoka mabeki wa Simba na Kumchambua kipa Juma Kaseja...
 Kitu kimyani.....
 Shamra shamra.....
 Kocha wa Yanga Kostadin Papic akiwapongeza wachezaji
 Kipa wa Simba Juma Kaseja akiwa ameshika kiuno....huku score board ikionesha I-0...
 Mashabiki wa Yanga wakifurahia goli.....hilo bango chini yao ni utani wa jadi huo...
 Mshambuliaji wa Yanga Jerry Tegete akihuzunika baada ya kukosa goli ndani ya sita...
 Beki wa Yanga, Nadir Haroub akiwapa pole bench la Simba baada ya mchezo...
 Wachezaji wakiwa wamembeba juu kocha Kostadin Papic baada ya kipyenga cha mwisho...
 Ndo furaha ya ushindi kwa mashabiki wa Yanga...
 Hasira na huzini kwa mashabiki wa Simba...
 Papic akiwasalimu mashabiki wa Yanga baada ya mchezo....
 Polisi wakiwaadabisha mashabiki wa Simba baada ya kuanza kurusha makopo matupu ya vinywaji baridi...
 "Toa bango lako uende...kufungwa mshafungwa...sasa vurugu za nini,"alisikika askari akimwambia shabiki wa Simba...
Kocha wa Simba akitafakari baada ya mechi....(labda kuhusu hatima ya kibarua chake mshimbazi) huku akiangalia Score board asiamini kilichotokea....