Thursday, August 4, 2011

Hii faini kwa smoking

Katika Jiji la Nairobi na miji mingine mikubwa nchini Kenya... uvutaji wa sigara hadharani na kwenye mikusanyiko ya watu pamoja na mitaani umepigwa marufuku... ukikamatwa tu ukivuta fegi... hiyo ndo adhabu yake.... kutokana na kuanzishwa kwa sheria hiyo..... maafisa watendaji wa  miji waliamriwa kutoa matangazo kwa umma kwa lugha ya kiswahili..... hapo ndimbo mbavu zinapovunjika.....nasikia wengine bado wanaandaa matangazo yao... hawajaweza maliza bado.... aliyepatia kidogo kiswahili ni wa mji wa Pwani.
The Coast Town Clerk:Uvutaji wa sigara umepigwa marufuku kuanzia leo.Watakaopatikana wakikiuka amri hii wataadhibiwa kwa mujibu wa sheria. Nyote zingatieni.

The Kiambu Town Clerk:Wanyuanji wa thigara washunge sana . Unyuanji wa thigara bere ya watu hata huko ije umefigwa marufuku na kaju kuanjia reo.

The Machakos Town Clerk:Wavulutanji tusikala wasunge sana . Sasa kuvuluta tusikala ni maluvuku na kanzu ya Masaku itawasukulia atua kuvwa sana.

The Kisumu Town Clerk:Atenson Plis!!! Mifuto sgara adharani sasa omepigwa marofuku. Okipaatwa ibiro yie Kodiaga! Apana furuta Plis!!

Wajir Town Clerk:Habana iko buruta sigara. Yeye lishapigwa marufuk na sisi tagaamata mutu
bhahala yaghe kiburuta.


Kericho Town Clerk:Gutoga leo gugunywa na gufuruta sigara sisi nagshagataasa. Haguna!! Charipu wee taona!!!