Sunday, March 28, 2010

Usiendeshe karibu na lori lilobeba kontena.... Isijekuwa Kama Kibamba

Lori lilobeba kontena likiwa limepiga chini katika makutano ya barabara......huko mamtoni(ila sio kwa aziz ali wala mtongani).....
Madereva mnatahadharishwa kutoendesha karibu na malori ya namna hii... hususan hapa kwetu bondo salidalama..... mengi ya makontena hayo huwa hayajafungwa ipasavyo..... hiii inanikumbusha ileee ajali ya kimara miaka iileeee.... kipanya (sio masoud) kilivyominjwa na kontena...... hebu endelea kuangalia hizo pix za chini......zimeorijineti toka fun&info@letalites.nets.............

Ajali nyingine majuu kama ya kibamba

Moja kati ya magari mawili yaliyoangukiwa na kontena lililokuwa limebebwa na lori......
Waokoaji wakitafuta mbinu ya kuwachomoa walionasa na wakati huo huo kuwapa huduma ya kwanza........
Hapa ni ka-kiganja tu kanaonekana......
Waokoaji wakimpa huduma ya kwanza moja ya wahanga wa ajali hiyo......
Picha hizi nimetumiwa ktk mail na mdau john mwaipopo... ila zinanesha onesha kama zimeorijineti toka fun&info@letalites.nets.............

Ajali ya Kibamba

Ingawa ajali haina kinga.... lakini hii ni nomaa mazee.....
Sijui tumlaumu Dereva....... au barabara...... au gari lenyewe......????