Thursday, March 19, 2009

Yako wapi Maisha bora kwa kila Mtz...?

Mwanamama katika kitongoji kimoja mjini Dom akitoka kuteka maji ..... kangani kuna maandishi ya Ari Mpya Nguvu Mpya na Kasi Mpya....... zilotolewa wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu mwaka 2005..... Yako wapi maisha bora kwa kila mtz....? Alihoji mwanamama mwenzie aliyekuwapo nyuma yake baada ya kuniona 'nikimfotobita.....'

Ni kutokuelewa au ukaidi tu...?

Pikipiki ikiwa imeegeshwa eneo ambalo sio egesho katika stesheni la treni mjini Dom.....jamani hii ni ukaidi au kutoelewa.....??