Saturday, January 24, 2009

Chuo Kikuu cha Dodoma....si mchezo....

Sura ya mbele ya jengo la utawala la Chuo Kikuu cha Dodoma ambacho ujenzi wake ukikamilika kitakuwa ni mojawapo ya vyuo vikuu vikubwa katika Ukanda wa Afrika....
Jengo hili zamani lilijulikana kama Ukumbi wa Mikutano wa Chimwaga...
Mojawapo kati ya maeneo ambapo vitivo vinaendelea kujengwa... hadi sasa kuna vitivo sita ambavyo kila kimoja kitajitegemea kwa kila kitu.....
Baadhi ya mabweni.... hili pichani ni la kitivo cha sayansi ya jamii.......

No comments: