Tuesday, January 6, 2009

Maandalizi wa UWT

Vijana wa CCM wakiweka bendera katika mtaa wa Kuu street ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mkutano mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa CCM utakaoanza Jan 07. JK anatarajiwa kufungua mkutano huo ambao pia utafanyika na uchaguzi mkuu wa viongozi wa kitaifa wa jumuiya hiyo. Mchuano mkali unatarajiwa katika nafasi ya mwenyekiti ambapo wagombea watatu Janeth Kahama, Sophia Simba na Joyce Masunga.
Itakumbukwa mwaka jana vyombo vya habari viliripoti kutokea kwa purukushani za hapa na pale baina ya wagombea wawili wa nafasi hiyo. Yetu machu na masikio tusubirie kitakachojiri hapo kilimani club.....!!!!

1 comment:

Anonymous said...

majina yale yale kila siku,simba,kahama etc miaka nenda rudi..fisadi