Saturday, January 31, 2009

Magufuli alia na wavuvi haramu....

Waziri wa Mifugo na Manendeleo ya Uvuvi, John Mgufuli akitoa tamko juu ya kuanza kwa operesheni ya miezi sita ya kupambana na uvuvi haramu na uvushaji wa mazao ya samaki mipakani. Operesheni hiyo inaanza Januari 30 mwaka huu. Picha na Jube Tranquilino

No comments: