Wednesday, March 18, 2009

malya ahukumiwa miaka 3 jela

Deus Malya akisindikizwa rumande mara baada ya mahakama mjini Dodoma kumtia hatiani kwa makosa mawili ya kuendesha gari kwa uzembe na mwendo kasi na kusababisha ajali iliyosababisha kifo pamoja na kuendesha gari bila leseni. Kwa kosa la kwanza amehukumiwa miaka mitatu wakati kosa la pili ni mwaka mmoja jela. Adhabu hizo mbili zinakwenda pamoja.


Malya alikuwa pamoja na marehemu Chacha Wangwe wakati gari walimokuwa wakisafiria kutoka Dodoma kuelekea Dar es Salaam lilipopata ajali eneo la Pandambili kiasi cha Kilomita 120 kutoka mjini Dodoma.

No comments: