Friday, April 3, 2009

Daladala yawaka moto.....

Baadhi ya wakazi wa eneo la Majengo mjini Dodoma wakiangalia gari aina ya Totota Hiace lenye namba za usajili T201ABC lililoteketea kwa moto juzi. Walioshughudia ajali hiyo ambayo hivyo hakuna mtu aliyejeruhiwa wameeleza kuwa chanzo chake ni hitilafu ya umeme........


Hapa viti kushneikgh....tukauze vyuma chakavu......

No comments: