Tuesday, May 5, 2009

Mafua ya ' Ze Hot-chair'

Ati huko kwa pharao wanataka angamiza hawa viumbe wa sir God bureee... wakati huku kwetu sie wala hatuna taaabu nao... tunawachunga malishoni kama hivi uonavyo.... afu baadaye twawapeleka kwa mpareee....!!!

No comments: