Friday, May 22, 2009

Mwakyembe kanusurika Mzinga wa namna hii...!!!

Gari aina ya Land Cruiser ambalo Mbunge wa Kyela Dr. Harrison Mwakyembe alimokuwa akisafiria kutoka Kyela kwenda jijini Dar es Salaam likiwa katika eneo lililopata ajali mkoani Iringa jana.... Kwa kweli mzinga adi cruiser katika hali hii inaonyesha kuwa ilikuwa moto chini kinoma...... Hivi ajali hizi za mara kwa mara kwa waheshimiwa hawa ni kutokana na mwendo kasi... ubovu wa magari... kutokuwa makini kwa madereva.... ama.....mkono...wa m2..!!?

No comments: