Tuesday, August 25, 2009

Sakata la majambazi Dodoma

Majeruhi aliyetwangwa na kitu kizito kichwani na majambazi wapatao sita ambao baada ya kuteka magari matatu likiwemo basi la abiria, walitoroka kwa kutumia gari ya majeruhi huyo. Kwa mujibu wa Polisi, majambazi hayo yaliuawa na wananchi wenye hasira.
RPC wa Dodoma akikagua baadhi ya vitu zikiwemo simu 25 za kiganjani, mkwanja cash Sh1.95, binduki mbili, mapanga na visu walivyokuwa wanatumia majambazi hayo.

Hapa kamanda akizungumza na wakazi wa Dodoma nje ya chumba cha maiti katika hospitali ya mkoa ambapo miili ya watu hao sita ilikuwa imehifadhiwa.

No comments: