Friday, August 28, 2009

Uzembe mwingine bwana... wee wacha tu...!!!

Gari ikiwa imetupwa kiasi cha mita 50 toka mahala ilipogongwa na kiberenge eneo la majengo mjini Dodoma hivi karibuni wakati dereva akitaka kuwahi kuvuka kabla ya kiberenge hicho kupita.
Baadhi ya mashuhuda wakiangalia gari hilo ambapo hata hivyo hakuna abiria aliyejeruhiwa saaana.....
Mmoja wa walioshughudia ajali hiyo akijaribu kuelezea ilivyotokea....si unajua jinsi tulivyo hodari katika kusimulia.... kama movie vile.....!!!

No comments: