Gari za minadani.....
 Jamaa akiwa maeneo ya kikuyu katika barabara ya Dom-Iringa akielekea kwenye minada vijijini akiendelea kusubiri abiria zaidi wakati ambapo ngoma yenyewe ishakula mgizo wa kutosha..... Kwa mtaji huu .....Hivi kweli tutafika...????
Jamaa akiwa maeneo ya kikuyu katika barabara ya Dom-Iringa akielekea kwenye minada vijijini akiendelea kusubiri abiria zaidi wakati ambapo ngoma yenyewe ishakula mgizo wa kutosha..... Kwa mtaji huu .....Hivi kweli tutafika...????
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment