Thursday, January 15, 2009

Gari za minadani.....

Jamaa akiwa maeneo ya kikuyu katika barabara ya Dom-Iringa akielekea kwenye minada vijijini akiendelea kusubiri abiria zaidi wakati ambapo ngoma yenyewe ishakula mgizo wa kutosha..... Kwa mtaji huu .....Hivi kweli tutafika...????

No comments: