Tuesday, March 16, 2010

Dear Mama Musica Saundo kunguruma Dom

Wanamuziki wa Bendi mpya ya Muziki wa Dansi .... wenyewe mwaita masebene..... wakishangilia wakati wa utambulisho kabla ya uzinduzi rasmi utakaofanyika siku ya mkesha wa pasaka......
Waimbaji wakinengua sebene........

Hapo chacha...... Wakisakata mtindo wa 'Makaputura'

Mkurungezi Mkuu wa bendi hiyo.... Josephat Mwashinga akionyesha umahiri wa kucheza sebene wakati wa utambulisho bendi hiyo yenye maskani yake mjini Dodoma......
Hapa "mzee wa makaputura" akionyesha ufundi wa kuimba ingawaje yeye si mwimbaji wa bendi hiyo....... akisaidiwa vocal kwa mbali na rais wa bendi hiyo...Petit Makambo.... mwimbaji na mwanamuziki mkongwe wa siku mingi... toko DRC.....

No comments: