Monday, July 25, 2011

Kamanda Magufuli upo...? Wao waweze wana nini na sie tushindwe kwanini?

 Moja kati ya Fly-over nyingi zinazoendelea kujengwa jijini Nairobi... ikiwa ni jitihada za kupunguza msongamano barabarani..... Sasa sie wabongo sijue tume..gwa.... coz hadithi za fly over ni nyingi mno kuliko utekelezaji......Wao waweze wana nini na sie tushindwe kwanini?




No comments: