Saturday, January 17, 2009

Uzembe wakati mwingine soo...

Kontena likiwa limeanguka katika kipleft kwenye barabara ya darisalam rodi.... ingawa halikuleta madhara... inaonyesha kuwa halikuwa limefungwa ipasavyo katika lori lilimokuwa.... hata hivyo baaada ya kuangakua hapo... lilikaa kwa takriban siku tatu... jambo ambalo lingeweza kusababisha ajali nyingine... lakini nadhani wahusika waliona kuwa ni sawa tuu....

No comments: