Friday, February 20, 2009

Hawa jamaa wako fit si mchezo.....

Mazoezi ya kijeshi wakati wa kufunga mafunzo ya awali ya kijeshi katika kambi ya makutupora mkoani Dodoma. Vijana wapatao 1306 walihitimu mafunzo hayo, sita waliingia mitini.
Hapa ni ujuzi wa kuvuka vikwazo mbalimbali kwa kutumia kamba.....

Wakipeana taf kuvuka ukuta.....

No comments: