Thursday, February 19, 2009

Mambo ya Zimbabwe soo....!!!

Noti hii yaweza nunua kiasi hicho cha bidhaa......
Matumaini mapya kwa wananchi wa Zimbabwe baada ya kuapishwa kwa Waziri Mkuu mpya kutawezesha kufikiwa kwa ufumbuzi wa mzozo wa kisiasa nchini humo na kuwezesha kuondokana na hali hii ya mfumuko wa bei na kuporomoka kwa thamani ya dola ya zimbabwe.

No comments: