Monday, March 30, 2009

Ajali ya Treni Msagali Mkoani Dodoma

Sehemu ya behewa lililoharibika....
Jamaa wakikata bodi la behewa ili kunasua miili sita iliyokuwamo ndani...
Kipande cha behewa kilichominywa......
Behewa la mizigo lililogongwa....hii treni ya mizigo ilisimama eneo lisilo na stesheni.....ikadaiwa injini iliharibika......dereva wake hakuweka alama yeyote kuonyesha ishara ya ubofu......hakutoa taarifa haraka kwa mkuu wa stesheni alikotoka au anakoenda...Jamani maswali mengi kuliko majibu...!!!!
Injini ya treni ya abiria iliyogonga treni ya mizigo......

No comments: