Sunday, March 22, 2009

Magereza watunukiwa nishani

Kamishna Mkuu wa Jeshi la Magereza, Augustino Nanyaro akimvisha Nishani ya Utumishi Uliotukuka, SSP Kimangano Kivaria wakati wa sherehe fupi ya kutunuku nishani kwa askari na maafisa 301 wa jeshi la Magereza iliyofanyika katika viwanja vya Gereza Kuu la Isanga mjini Dodoma mwishoni mwa wiki.


Hapa Kamishna Mkuu wa Jeshi la Magereza, Augustino Nanyaro akiwapongeza baadhi ya askari magereza baada ya kuwavisha nishani.

No comments: