Wednesday, March 4, 2009

Utatuzi wa migogoro

Mbunge wa Same Mashariki,Anna Kilango Malecela(katikati) akiwaongoza mamia ya wanawake wa jamii ya wafugaji wilayani Same juzi, kutoa tamko linalotaka kutumika kwa njia za kijadi kusuluhisha migogoro ya wakulima na wafugaji badala ya matumizi ya nguvu.Kushoto kwake ni kijana wa Kimasai, Kipintu Sany aliyejeruhiwa wiki mbili zilizopita katika mapigano ya wafugaji na wakulima. Picha ya Daniel Mjema

No comments: