Prince Masaai...!!
Monday, August 24, 2009
Kobe mzee
Baadhi ya wakazi wa Dodoma wakiangalia Kobe mwenye umri wa miaka 151 wakati wa maonesho ya nanenane yaliyomalizika hivi karibuni. Wataalam wanasema kuwa Kobe anauwezo wa kuishi kwa takriban miaka 500.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment