Monday, August 24, 2009

Hongera

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. James Nsekela akimkabidhi mwanafunzi wa darasa la saba wa shule ya msingi Kongwa Debora Hongole Baiskeli ikiwa ni zawadi ya usindi katika mitihani ya majaribio kwa masomo ya Hisabati na Sayansi. Zawadi hizo zimetolewa na Benki ya CRDB.

No comments: