Sunday, October 18, 2009

Moh Trans yapata ajali

Abiria wakishuka kutoka katika basi la Mohammed Trans lenye namba za usajili T779 AWH katika kituo cha Mabasi Mjini Dodoma Jumatano (14/10/2009) usiku. Basi hilo linalofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Dodoma lilipata ajali baada ya kugonga lori katikati ya eneo la Gairo na Pandambili ambapo mtu mmoja alikufa papo hapo na wengine kadhaa kujeruhiwa.

No comments: