Sunday, December 13, 2009

Str8Muzik Festival;Intercollege Special 2009

Joe Makini a.k.a Mwamba wa Kaskaz.. akimwaga mistari wakati wa music bash.... Str8Muzik Festival:InterCollege Special katika hotel ya Royal Village mjini Dodoma usiku wa Jumamosi (Dec 12) kuamkia J'2 (Dec 13).
Mzee wa Shikide... Dully Sykes a.k.a Mr. Misifa akibembea na 'bamutu bataokota benyewe kunyavu.....'

Crowd ilikuwa hot... ukizingatia madent wa colleges za Dom... plus kilauri.... ilikuwa balaa......

Albert Mangwair....mwana wa East Zoo.... akiwaambia 'nipeni..nipeni deal masela.... nikamate mahela...'

Ndo hapo alipowachanganya wana East Zoo........

No comments: