Hawa jamaa wako fiti kinoma
Baadhi ya wahitimu wa mafunzo ya awali ya kijeshi wakioyesha umahiri wa Karate wakati wa gwaride maalum la kufunga mafunzo ya kozi ndefu katika Kambi ya Jeshi ya Makutupora mjini Dodoma mwishoni mwa wiki. Jumla ya wahitimu 549 wakiwemo wanawake 86 wamefuzu mafunzo hayo Endelea kuangalia upate uhondo....
Hapa mambo ya kujihami kwa singe.....huyo hapo ni binti..... naye yuko fit kinoma...
No comments:
Post a Comment