Saturday, February 20, 2010

Wajeda na mavituz yao

Huyo jamaa mkufunzi wa makaratee...yuko fit kinoma.... hapa kanivunjia nazi kwa ngumi... si mchezoo.... niliikagua nazi hiyo kuona kama ilikuwa na ufa kabla ya kupasuliwa.... sikuona kitu....
Wazee wakivuka vikwazo mbali mbali....








Si mchezo babake......




No comments: