Moja kati ya magari mawili yaliyoangukiwa na kontena lililokuwa limebebwa na lori...... Waokoaji wakitafuta mbinu ya kuwachomoa walionasa na wakati huo huo kuwapa huduma ya kwanza........ Hapa ni ka-kiganja tu kanaonekana...... Waokoaji wakimpa huduma ya kwanza moja ya wahanga wa ajali hiyo...... Picha hizi nimetumiwa ktk mail na mdau john mwaipopo... ila zinanesha onesha kama zimeorijineti toka fun&info@letalites.nets.............
No comments:
Post a Comment