Sunday, March 28, 2010

Usiendeshe karibu na lori lilobeba kontena.... Isijekuwa Kama Kibamba

Lori lilobeba kontena likiwa limepiga chini katika makutano ya barabara......huko mamtoni(ila sio kwa aziz ali wala mtongani).....
Madereva mnatahadharishwa kutoendesha karibu na malori ya namna hii... hususan hapa kwetu bondo salidalama..... mengi ya makontena hayo huwa hayajafungwa ipasavyo..... hiii inanikumbusha ileee ajali ya kimara miaka iileeee.... kipanya (sio masoud) kilivyominjwa na kontena...... hebu endelea kuangalia hizo pix za chini......zimeorijineti toka fun&info@letalites.nets.............

No comments: