Saturday, July 9, 2011

MADEREVA BABA YAO MMOJA

Hapa askari wa kampuni binafsi ya ulinzi akikatiza bila hata ya kumstua dereva kuwa amepaki mahala pasiporuhusiwa hapo Kimathi Lane jijini Nairobi.

Hapa nilifikiri anamuendea kumbe akapitiliza




Dereva akiwa amepaki gari yake kwa Kimathi Lane jijini Nairobi, Kenya, bila hata ya kujali kuwa ameegesha mahala pasiporuhusiwa.... sijua hakuwa anajua kusoma ama aliamua kutoheshimu maelekezo yalokuwepo kwa geti.




Mambo haya ya kuchakachua si mchezo







No comments: